Kuwa na mwanamke askari ni shida

Lakini askari polisi ni madikteta sana ndio maana naweza kuamini hii kitu.
 
Yupo WP mmoja hapa wa ghasia tumepanga nae duuuh ngoja nipunguze mazoea
Siku akikugundua una dili fek, au kajinai flani, hakukamati, ila atakuonyesha tayar anajulijua, na hana noma, kitakachofuata sasa ni mizinga ya buku 2, 5 ,10 na mikopo bila kurejesha, akiona umeanza kumchoka, sasa anakuuza kwa police wenzie
 
Siku akikugundua una dili fek, au kajinai flani, hakukamati, ila atakuonyesha tayar anajulijua, na hana noma, kitakachofuata sasa ni mizinga ya buku 2, 5 ,10 na mikopo bila kurejesha, akiona umeanza kumchoka, sasa anakuuza kwa police wenzie
Hana nafasi ya kujiua mambo yangu
 
Dah... Mwanamke hata awe Jenerali wa Jeshi... dawa yake ni kumgonga vizuri tu.... analainika.... ndiyo asili yao[emoji13] [emoji13] [emoji87]
 
Hana nafasi ya kujiua mambo yangu
Hana nafas??? Ushaingiza urafk na mapenz au ndoa kabsa police asijue, na kasomea unafk Wa kipelelezi, cheza naye akufyatue, police Aksha kupa kisogo tu imekula kwako! Maswala la sijui rafk, mapenz, utaijua mwenyewe!
 
Wanawake ni wazuri pale unapowatazama wakipita mbele ya macho yako wakiwa wamejikwatua na kutikisa hizo mbambata zao....sina hamu nao.
 
Hana nafas??? Ushaingiza urafk na mapenz au ndoa kabsa police asijue, na kasomea unafk Wa kipelelezi, cheza naye akufyatue, police Aksha kupa kisogo tu imekula kwako! Maswala la sijui rafk, mapenz, utaijua mwenyewe!
Sio wote wanaoweza kufanya yale ninayoyafanya nikikwambia kuwa hana nafasi basi ujue huo ni ukweli mbona tunawamega sana hao watu
 
Siku akikugundua una dili fek, au kajinai flani, hakukamati, ila atakuonyesha tayar anajulijua, na hana noma, kitakachofuata sasa ni mizinga ya buku 2, 5 ,10 na mikopo bila kurejesha, akiona umeanza kumchoka, sasa anakuuza kwa police wenzie

We jamaa noma sana.
 
Jamani yule jirani yangu muda huu kafumaniwa na mkewew yupo njiani kuelekea Lock up.
 
Toka nianze kufatilia mabishano yenu.
Hapo sasa Ndio Nimepata point yako.
Big up kiongoziii.
Mimi Nimekuelewa Sana sijui wengine.
 
Wengine si askari ila mambo yao baabaa utajutraaaa


Thanks my Smart911 kwakweli huwa hachoki kunielekeza..
Thanks love
 
Nilikuwa na WP wangu trafic wa Kinyaturu
Nilikuwa nimegonga madem wa kada zooote nimebakisha askari
Nilimpata kiulaini, alikuwa na papuch tamu,tyt flani hivi ila alikuwa hajui kudo, afande ananichokonoa sikio duuu,
Nilimuacha na anamimba ya Mwl mmoja iv, maafande wenzie wanajua ni yangu.
Ila raha kuushusha mkanda wenye bendera ya taifa kiunoni mwake.
Usijaribu kuoa WP, utajuta kuzaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…