Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,596
- 2,079
wapo wamama wa nyumbani ila mambo yao kama Askari, nafikiri ni tabia ya mtu tu.Nlishawahi kua na girlfriend traffic police,kiukweli sikuona tofauti yake na wanawake wengine tena alikua anapenda sana kudeka na kulialia ovyo.
Hata nikikaa nae kwa daladala siti moja nashuka kituo kifuatacho.Mm sifikirii tu kuwa nae hata iweje
Kabisa na kwa hili inabidi alshabab wapate ajira ya kutekaHahaaaa!!
Kanuni ni moja tuu.
Kumfanya mwanamke akupende na kuteka hisia zake.
Kama hujateka hisia zake na moyo wake amini Amin nakuambia hata mtoto wa Sekondari atakusumbua.
Naelewa unachozungumzia mkuu sema ninachojaribu kueleza ni namna ya kuuteka moyo wa mtoto wa kike. Baada ya kuuteka hawezi kukusumbua.
Unaweza kuvaa hata sare zao. Unaweza ukamwambia akupe hata siri za polisi. Unaweza ukachukua hata silaha yake.
Usihangaike na mwanamke hutamuweza na atakusumbua tuu. Bali hangaika kuuteka moyo wake. Jaribu kutafuta kipi moyo wake unakipenda na si kipi mdomo wake na macho yake yanasema au yanataka.
Kujua moyo wa mwanamke unataka nini ni zaidi ya kuchukua Phd. Ni kazi ngumu sema ukiiweza basi dunia yote ni yako
Pardon!
Ananinyimaje unyumba mke wangu?Ukichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso.Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali kama vile yeye ndio kidume.Na mengine kibao yasiyokuwa ya kistaarabu.Haya ni malalamiko ya jirani yangu ambaye amekuwa akiishi kwa mashaka na mkewe ambaye ni Askari polisi.Hivi ni kweli wanawake ambao wanafanya kazi hii huwa hawana huruma kwa wenzi wao?
Huyu ni mojawapo wa madaktari nguli na ma phylosophy wachache tulionao hapa TzHahaaaa!!
Kanuni ni moja tuu.
Kumfanya mwanamke akupende na kuteka hisia zake.
Kama hujateka hisia zake na moyo wake amini Amin nakuambia hata mtoto wa Sekondari atakusumbua.
Naelewa unachozungumzia mkuu sema ninachojaribu kueleza ni namna ya kuuteka moyo wa mtoto wa kike. Baada ya kuuteka hawezi kukusumbua.
Unaweza kuvaa hata sare zao. Unaweza ukamwambia akupe hata siri za polisi. Unaweza ukachukua hata silaha yake.
Usihangaike na mwanamke hutamuweza na atakusumbua tuu. Bali hangaika kuuteka moyo wake. Jaribu kutafuta kipi moyo wake unakipenda na si kipi mdomo wake na macho yake yanasema au yanataka.
Kujua moyo wa mwanamke unataka nini ni zaidi ya kuchukua Phd. Ni kazi ngumu sema ukiiweza basi dunia yote ni yako
Hahahaha...Ukichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso. Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali kama vile yeye ndio kidume..
Ukishaona mtu anajisifia kuwa ametoka na wanawake wengi sana ujue huyo ni CHAPUTA anapita nao bafuniIla uelewe polis huwa wana kawaida ya kiherehere hasa kana namna alivyopata huo upolisi ni shida
Hizi tabia za wanawake wengi wenye ajiraUkichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso.Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali kama vile yeye ndio kidume.Na mengine kibao yasiyokuwa ya kistaarabu.Haya ni malalamiko ya jirani yangu ambaye amekuwa akiishi kwa mashaka na mkewe ambaye ni Askari polisi.Hivi ni kweli wanawake ambao wanafanya kazi hii huwa hawana huruma kwa wenzi wao?
Tofauti ipo lakini sio sana.
Nmekuambia ni sawa na Daktari na Nesi.
Ningemhusisha Mwalimu au Enjinia ndio ungesema tofauti mno.
Kuna mafunzo wanashare, mbinu n.k.
Turudi kwenye Mada.
Mwanamke ni mwanamke hata awe Rais sembuse Polisi.
Sema inategemea na nature ya mwanaume. Kama mwanaume ni dhaifu ndio matokeo yake huwa haya.
Ni sawa na wale wanaosema mwanamke msomo au mwanasheria anasumbua kumbe ni Mtazamo mtu aliyejiwekea