nyumba ndogo ni presha ,cha msingi we mshauri mamsap/nyumba kubwa muwe mnajikumbusha the good ol days wakati mko ktk uchumba etc.
watoto mnawapeleka kwa bibi ndugu,every weekend wao kwa bibi,uncle,anti ,family freinds etc,ili muwe free for u and her only,muwe na vitu vya kufanya kwa pamoja,e.g swimming,jogging,cycling etc, vunja routine kwa mwanaume mtongoze upya and kama bado mmna nguvu nendeni disco,msikae pamoja alafu anza kupractice kutongoza vitoto vya CBE or chuo hii inasaidia ku-rejuvenet ujana,then mamsap anakuja as if amekubamba na kadem ka chuo kanaanza kupanic,ITs just a role playing ,ndo maana ndoa zinadumu kwa watu wanaofanya vitu pamoja.
Nyumba ndogo huwa inakuridhisha tu ukondoka anakuja kamjamaa anatoa Dozi ya ukweli ,sometime huwa ni mlinzi wa jirani,muuza duka,muuza maji etc.matokeo yake unapata kale kaugonjwa.
lakini ukiwe close na Nyumba kubwa with lots of activities in the weekend utashangaa mwenyewe .Thats why unaona wazungu wanenda holidays husband and wife only.