kuwa na rafiki mtuhumiwa ni kosa?

upendo_20

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
1,433
Reaction score
48
Leo nimekwenda kumtembelea rafiki yangu office kwakwe muda mcheche polis wakaingia kwenye hiyo office na kumkamata yule rafiki yangu na polis wakataka kunichukua na mimi hapo ndio nikawauliza mimi na tatizo gani eti huyu mtu ni hatari sana tuna mtafuta nikawambia sasa mimi na kosa gani eti utakwenda kujua kituoni nikawajibu na jua haki zangu siwezi kwenda popote mpaka unambie kosa langu na munioneshe) yangu mimi au sina haki ya kutembea kwenye nchi yangu?moja akawambia muwache huyo dada hana kosa lolote moja akajibu makosa yapo kibao kituoni nikamjibu wewe hata unipe mimi makosa 1000 kwa elimu yako ndogo nitatoka njee nawewe utanilipa kwa kunipotezea muda wangu kusikia hivyo ndio wakaniwacha mimi nakumchukua yule rafiki yangu
 
Si makosa lakini ushukuru Mungu maana wangeweza kukubambikia lolote lile ili wakutie hatiani.

 
Si makosa lakini ushukuru Mungu maana wangeweza kukubambikia lolote lile ili wakutie hatiani.

Polis nawajua vizuri hata boyfriend wangu wazaman alikuwa polis
 
sio kosa kisheria,ila kuwa makini na polisi wa tz,ni noma.
 

Miss Cute, Sheria ni ngumu, kiurahisi without thoughtful mind tunaweza kukubaliana na mdau hapo kuwa si kosa kisheria by only relying on the text of statutes while doing away with the purpose behind the enactment of statues.
Lakini fahamu kuwa sheria inafanywa mpya kila inapobidi ili kukidhi haja ya kutokomeza au kuzuia tendo husika. Kwasababu hii kupitia mamlaka ya mahakama marekebisho ya sheria yanaweza kufanywa bila kuathiri kusudio la Bunge katika sheria hiyo ili kushughulikia tatizo ambalo linakuwa halina sheria kwa wakati huo. Mf: Jaribio la kubaka, Jaribio la kuiba, Jaribio la kuua n.k ilitokana na mahakama kufanya marekebisho ya namna hiyo.
Hivyo basi, swala la kuwa rafiki wa mwarifu la weza kuwa kosa katika mazingira yafuatayo: Endapo unauelewa kuwa rafiki yako ni mwarifu na hutoi taarifa, hii inakufanya uwe kinyume na public policy, hivyo mahakama ikivutiwa na kusudio la utungwaji wa sheria husika inaweza ku-create precedent ambayo itakutia hatiani upon evidence. Kwa machache hayo nakushukuru kwa kuleta mada hii ambayo is interesting to me. Big up sis!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…