Eng CA Christopher
New Member
- May 8, 2023
- 4
- 2
Vijana wengi wakitanzania hasa wasomi wamekua vibarakaa kutokana na kwamba wengi wao wapo kimaslahi zaidi.
Hivyo basi wamejikuta wanakosa uzalendo na nchi yao, kila kinachofanyika ambacho sio sawa wamekua wanatetea kutokana na kwamba wamejali maslahi yao binafsi zaidi kuliko nchi yao. Nakusahau kuwa wanategemewa.
WAFANYE NINI
kutumia usomi wao kukemea na kukataa mambo yassiyofaa husuusani rushwa na mikataba ya kilaghai
Hivyo basi wamejikuta wanakosa uzalendo na nchi yao, kila kinachofanyika ambacho sio sawa wamekua wanatetea kutokana na kwamba wamejali maslahi yao binafsi zaidi kuliko nchi yao. Nakusahau kuwa wanategemewa.
WAFANYE NINI
kutumia usomi wao kukemea na kukataa mambo yassiyofaa husuusani rushwa na mikataba ya kilaghai
Upvote
0