Tetesi: Kuwa na wasomi wengi ni shida

Tetesi: Kuwa na wasomi wengi ni shida

Kimalaunga

Member
Joined
May 31, 2016
Posts
79
Reaction score
32
Ili kuifanya inchi iweze kutawalika kwa urahisi, kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu, nibora ingepitishwa sheria kuwa elimu ya juu kabisa anayotakiwa kuwa nayo mtz ni ya Awali. Kwani sasa watu ni wajuwaji mno mpaka serikali inapata wakati mugumu kuwaongoza.
 
Ili kuifanya inchi iweze kutawalika kwa urahisi, kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu, nibora ingepitishwa sheria kuwa elimu ya juu kabisa anayotakiwa kuwa nayo mtz ni ya Awali. Kwani sasa watu ni wajuwaji mno mpaka serikali inapata wakati mugumu kuwaongoza.
Ni shida iwapo elimu inayotolewa si sahihi.
 
Back
Top Bottom