M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Israel isn't the topic on the menu.Akili timamu tu.
Wanaoshabikia USA wanaunafiki, chuki au ulimbukeni. Na ndio hao hap pro israel.
Mtu anashabikia Israel akipewa msaada na USA kuua wapalestina akidhani Israel ndio ukiristo, kisha Israel hiyo hiyo yampa siraha Azabaijani kuua wakristo wa Armenia just because Armenia iko close na Russia.
Ni mjinga ndie anaedhan Israel ana give a fac about christianity.
Nimeikataa propaganda ya West tangu sijui internet nasikiliza BBC kijijini huko. I have never being deceived by those two face monsters.
Mimi naomba kuanza na wewe, kwanini unatumia swastika kwenye avatar yako?Kuna watu hakuna Jema la Russia duniani kama ilivyo watu wengine wanaoamini Marekani haina Jema hata Moja hufanya duniani.
Sasa kwa watanzania wenzangu, huwa mnatumia kigezo gani kuamua kuwa upande wa Marekani au wa Russia. Huwa mnazingatia mambo gani hasa?
Mimi nipo NAM- non aligned movementKuna watu hakuna Jema la Russia duniani kama ilivyo watu wengine wanaoamini Marekani haina Jema hata Moja hufanya duniani.
Sasa kwa watanzania wenzangu, huwa mnatumia kigezo gani kuamua kuwa upande wa Marekani au wa Russia. Huwa mnazingatia mambo gani hasa?
UkoloniKuna watu hakuna Jema la Russia duniani kama ilivyo watu wengine wanaoamini Marekani haina Jema hata Moja hufanya duniani.
Sasa kwa watanzania wenzangu, huwa mnatumia kigezo gani kuamua kuwa upande wa Marekani au wa Russia. Huwa mnazingatia mambo gani hasa?
Porojo zitakuwa nyingi humu ila sababu kubwa ni moja tu, DiNI.Kuwa Pro Russia au Pro US, kigezo huwa nini?
Situmii swastika.Mimi naomba kuanza na wewe, kwanini unatumia swastika kwenye avatar yako?