Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 3 tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji

Hesabu za kwenye makatasi ni rahisi mno, ukifanya practical si jambo jepesi kama unavyoandika hapo!! usidanganye watu wakaingia wakakuta mambo ni tofauti kabisa.
 
Utajiri huwa hautangazwi hadharani hivi..!
 
Unaendelea vizuri ila nilishauachia mtu mwingine - wife; mimi huwa napenda kutengeneza sehemu za kufundishia jamaa zangu. Kwa sasa nimeanza wa nguruwe .. naona hata soko la ndani halijitoshelezi.
Soko la nguruwe likoje mkuu, nataman nianze huu mradi mwezi wa 12,.
 
Hesabu za kwenye makatasi ni rahisi mno, ukifanya practical si jambo jepesi kama unavyoandika hapo!! usidanganye watu wakaingia wakakuta mambo ni tofauti kabisa.
Hakuna mishe inayokosa challenge mkuu, hata ukiajiriwa tu zipo sembuse biz yako mwenyewe
 
Mbona mpo Negative hivo? Ni shughuli gani ya ujasiriamali haina changamoto?
kila kazi ina changamoto na ili itoboe inahitaji uvumilivu sana tu, ninachokosoa ni mtu kuipamba kazi flani kama vile ni rahisi mno.
Unakumbuka forex ilivyotambulishwa na watu wengi wakakimbilia wakijua ni kudownload pesa tu.
 
kila kazi ina changamoto na ili itoboe inahitaji uvumilivu sana tu, ninachokosoa ni mtu kuipamba kazi flani kama vile ni rahisi mno.
Unakumbuka forex ilivyotambulishwa na watu wengi wakakimbilia wakijua ni kudownload pesa tu.
Hapo nimekusoma mkuu
 
Hakuna mishe inayokosa challenge mkuu, hata ukiajiriwa tu zipo sembuse biz yako mwenyewe
hatukatai kwamba kuna chalenges kwa kila mwanadamu afanyalo, my point is - anza business with low expectation. mtu akisoma bandiko hapo juu hakawii kukimbia benki kukopa pesa illi awahi kupata nyingi zaidi.

Ufugaji wa kuku umeaza kitambo sana miaka ya 60's - fanya upelelezi ni matajiri wangapi wamepitia ufugaji huu wa kuku?
 
Najarbu Mungu anismamie 🙏
Kila la kheli.
"Angalizo" tafuta jogoo mzuri anayepanda sana asiwe mnene sana wala asiwe chotara,baada ya hapo jifunze namna nzuri ya kutunza vifaranga hapo utatoboa hata kama kwa miaka miwili au mitatu utatoboa..
 
nyumba za kupanga mtihani kweli kweli, shamba kuku ni elfu 6 tu
Ndugu tena hizi nyumba za kupanga ndio nzuri,binafsi nafuga kuku kwenye nyumba ya kupanga,naitumia kodi yangu vizuri,siwezi kuliacha eneo bure ilhali naweza kulitumia kwa shughuli za kuniingizia pesa,shtuka,tumia fursa..
 
Hii michanganua kwa kuisoma hivi tu inaonekana ni simple ila ukienda field sasa.
ni simple kulingana na eneo husika mfano iringa upatikanaji wa maeneo ni rahisi unaweza pata hata ekari 1 kwa 250,000 na karib na mjini pia materials kama mabanzi ni sawana bure tuu!! Kwa sehem nyingine ni tofauti so inayofautiana kulingana na sehem uliyopo!
 
Mkuu are You serious kuku wa kienyeji 11 ndani ya miezi 3 utakuwa na kuku 300+ ???

Uongo sio kitu kizuri kabisa.... Nataka nifanye utafiti kwa kukutembelea najua utakuwa na record ya kuku wa kuanzia 11 then tuone hadi sasa una kuku wangapi????
Ni. Kweli mkuu jamaa ameshindwa kuchanganua labda kacopy sehem ukiwa na kuku 10 mitetea na jogoo 1 ukawalisha vizuri chakula chenye mchanganyiko wa
Mashudu
Damu
Chokaa
Mfupa
Pumba
Kwa muda wa week 2 wataanza kutaga lets say kila kuku akitamia mayai 100
Baada ya kutotoa week 1 baadae unawanyanganya vifaranga kwa mama zao. Hao vifaranga unawapa chakula cha vifaranga huwa kinauzwa maduka y vyakula kilo moja sh 1500 huku ukiwapatia joto kwa taa ya umeme au chemli!
Hao mitetea uliowanyanganya vifaranga wakila vizuri chakula chenye mchanganyiko maalum nilioelezea hapo juu ndani ya week 2-3 wataanza kutaga tena na kuatamia wakitotoa baada ya wee1 unawanyanganya Tena vifaranga!
Fanya hivyo kwa miez 6 utakua na kuku wenhi
 
Shukran
 
Bro upo mkoa gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…