Ficha ujinga wako.
Sehemu pekee unri wa kustaafu unaelekea ni juu zaidi kadri unri wa kuishi wa watanznaia unavyoongezea.
Kuhudumia na kulipa mafao wazee waliostaafu ni mzigo mkubwa zaidi ya vijana wasio na ajira rasmi.
Wazee wana magonjwa expensive kutibu,matinabu yao ni bure na hawalipi tena kodi baada ya kustaafu.
Vijana hawaumwi umwi hovyo,sio mzigo kwa spcial welfare na wana variety ya kazi wanazoweza kufanya.
umri wa kustaafu hautashuka kamwe. Utaongezeka tu.
Kabla ya kuandika kuhusu kitu, fanya tafiti japo kidogo kujua factors zinazosababisha pension funds kuchagua umri flani wa kustaafu.
FYI, life expectancy of a country plays a huge role. No pension funds wants to pay pensioners for 30+ years