Kuwaacha watendaji wa mitaa au kata kwenye eneo moja la kazi miaka mingi inashusha ufanisi katika utendaji

Kuwaacha watendaji wa mitaa au kata kwenye eneo moja la kazi miaka mingi inashusha ufanisi katika utendaji

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Leo ninajambo hili,tabia ya kuwaacha watendaji wa mitaa au kata hata polisi wa kata kwenye eneo moja la kazi miaka mingi inashusha ufanisi katika utendaji.

Mfano unakuta mtendaji hayupo ofisini yupo kijiwe anapiga stori,kashfa ya wake au waume za watu.pia ktk hali hiyo hata kuchukuwa hatua stahiki kama serikali anakuwa hawezi na kuendekeza rushwa.
 
Tatizo sio pekee kuachwa mahali pa kazi muda mrefu. Tatizo kubwa ni ufatiliaji nini wanafanya na malengo gani wamewekewa kuyatimiza. Sasa kuna teknologia ya kufatilia mambo mengi ya ufanisi kazini.
 
Mahakimu wa mahakama za ardhi huwa wanakaa kituo kimoja hata miaka 10
 
Kunapelekea kufanya kazi kwa mazoea kulikopitiliza, mnahitaji huduma mtendaji hajafungua ofisi inabidi mkahudumiwe nyumbani kwake siku hiyo au mumfuate huko shambani kwake anakolima au kilabuni anakokunywa.
 
Back
Top Bottom