GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Man! whats in your mind???????Wapiganaji wamelala Saa 9 za Usiku wa kuamkia leo huku wale Wapiganaji waliokuwa katika Ratiba ya zamu ya Gwaride la Temeke Saa 8 wakipelekwa kufanya Ulozi Walikolala mazima Wenzetu ili walipige Taifa la Farao, ila wakashindwana kwa kila Taifa Kuua Adui Mmoja Mmoja.
Hii ya Saa 8 kwenda Walikopumzika mazima Wenzetu Kuroga na Wapiganaji kuchelewa Kulala kuelekea Vitani na Farao ewe Mwananchi na ewe Mzalendo nakuomba iamini na uichukue kwa 100%.
Huu ndio ujinga walionao watu weusi wengi zaidi hapa duniani. Badala ya kufanya uwekezaji mkubwa ktk Elimu(akili) na Mafunzo, wao wamejikita kwenye Imani Potofu za Kishirikina na kutaka mafanikio mkubwa kwa njia za mkato na miujiza.Wapiganaji wamelala Saa 9 za Usiku wa kuamkia leo huku wale Wapiganaji waliokuwa katika Ratiba ya zamu ya Gwaride la Temeke Saa 8 wakipelekwa kufanya Ulozi Walikolala mazima Wenzetu ili walipige Taifa la Farao, ila wakashindwana kwa kila Taifa Kuua Adui Mmoja Mmoja.
Hii ya Saa 8 kwenda Walikopumzika mazima Wenzetu Kuroga na Wapiganaji kuchelewa Kulala kuelekea Vitani na Farao ewe Mwananchi na ewe Mzalendo nakuomba iamini na uichukue kwa 100%.
Wapiganaji wamelala Saa 9 za Usiku wa kuamkia leo huku wale Wapiganaji waliokuwa katika Ratiba ya zamu ya Gwaride la Temeke Saa 8 wakipelekwa kufanya Ulozi Walikolala mazima Wenzetu ili walipige Taifa la Farao, ila wakashindwana kwa kila Taifa Kuua Adui Mmoja Mmoja.
Hii ya Saa 8 kwenda Walikopumzika mazima Wenzetu Kuroga na Wapiganaji kuchelewa Kulala kuelekea Vitani na Farao ewe Mwananchi na ewe Mzalendo nakuomba iamini na uichukue kwa 100%.