Kuwani au kuchelewa kufika mshindo

Kuwani au kuchelewa kufika mshindo

Joined
Feb 7, 2014
Posts
38
Reaction score
0
Habari wana jamii forum naombeni msaada kuhusu kuwah au kuchelewa kumaliza wakati wa tendo kipi ni bora
 
Kila kitu kwa wastani. Iwapo mwenzako ataridhika hata ukiwahi ni sawa. Ila ukawahi mwenzako bado yuko kwenye speed ndogo itakuwa ni sawa na hakuna. Jitahidi kuweka uwiano
 
Back
Top Bottom