Kuwasha mwili baada kuoga

Kuwasha mwili baada kuoga

Fredrick Jr

Member
Joined
Jul 21, 2012
Posts
8
Reaction score
0
Kwanza naomba niwasalimu wote wana jamii forum pamoja na Doctor natumaini wote ni afya njema. Doctor ninatatizo la kuwasha mwili kila baada ya kuoga muwasho huo huchukua robo saa hadi nusu saa hivi. Nimejaribu kubadili sabuni na kuacha kutumia sabuni na kubadili kutumia maji ya baridi au ya moto lakini bado hili tatizo linaendelea. Je hili tatizo linasababishwa na nini dokta na wanajamii forum wote? Naomba nisaidieni jamani kama kunatiba naomba nielekezwe.
 
Pole sana mgonjwa. Una minyoo ndo ina react na detergents/sabuni.

Tumia dawa ya minyoo (common worms)
 
Pole sana mgonjwa. Una minyoo ndo ina react na detergents/sabuni.

Tumia dawa ya minyoo (common worms)

diagnosis sahihi na tiba sahihi, naona kama mjadala umefungwa.
 
diagnosis sahihi na tiba sahihi, naona kama mjadala umefungwa.
Umefungwa kwani umeuanzisha wewe? Halafu, common worms ni kitu gani? ..na hiyo Tiba sahihi ya hao common worms ni ipi?
 
pole sana kwa tatizo hilo, nakumbuka na mimi miaka ya nyuma sana wakati nikiwa ''0'' & "A" nilikuwa na tatizo kama la kwako yaani ukifika muda wa kuoga unajiuliza mara mia mia leo ntawashwa tena au laaaa, Lakini na mshukuru Mungu from no where lile tatizo langu la muda mrefu likapotea tu bila ya kutumia dawa yoyote. Sijui wewe imekuanza lini hiyo hali, Jaribu kwenda kwa wataalumu wa magonjwa wa ngozi wanaweza kukusiidia, kama uko dar fika jengo la Feberck manzese darajani ghorafa ya kwanza au ya pili kwa Dr Lija anaweza kukusaidia, Japo mimi kama nilivyosema sikutumia dawa tatizo liliisha lenyewe tu. Pole sana
 
Back
Top Bottom