Habari zenu wakuu,na poleni na majukumu ya wiki nzima.
Naombeni msaada,jamaa yangu anawashwa sana anapooga au hata kufulia maji ya mvua.
mwili unatoa vijiupele utadhani kawashwa na kiwavi,hii inasababibishwa na nini?
Hajaenda hospital bado,naomba anayejua sababu tafadhali nisaidieni
Asanteni sana.