Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khan ungesema wapo getto tu nan angekupgababuNdugu zangu nimepatwa na tatizo. Kwa kifupi najitahidi sana kuwa msafi ila sikua najua kunguni wanafanana vipi mpaka baada ya kuwaona kwa jamaa angu mmoja ambae nilishukia kwake.
Baada ya kumwa na hawa wadudu sasa nmebaki na tatizo la kuwashwa