Kuwashwa sehemu ya haja kubwa

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Wataalam nisaidieni jamani, huwa kuna kipindi inatokea nawashwa sehem ya haja kubwa mara tuu baada ya kujisaidia, baada ya muda panaacha tena, kosa nikienda kujisaidia tuu, ni ugonjwa gani huo
 
Dah! Pole mkuu. Nakushauri uwahi hospitali watachukua vipimo na watakupa majibu ya uhakika. Huku kuna madaktari pia ila tutakuwa tunakisia tu. Ila cheki minyoo pia.

Harakisha mkuu maana hiyo hali inaweza kukuhamasisha mambo mengine ukabadilika kitabia. Nimekuonya mapema. Kila la heri!
 
Wataalam nisaidieni jamani, huwa kuna kipindi inatokea nawashwa sehem ya haja kubwa mara tuu baada ya kujisaidia, baada ya muda panaacha tena, kosa nikienda kujisaidia tuu, ni ugonjwa gani huo

Very simple yaani! tiba yake hii hapa ukifanyiwa mara tatu au nne umepona!
 

Attachments

  • 1462382344963.jpg
    14.5 KB · Views: 98
Minyoo au ni bacteria imbalance kwenye njia ya haja kubwa.

Lakini pia inaweza kuwa dalili ya ugonjwa wa kuota vinyama kwenye njia ya haja kubwa, na hapo ndipo pazito balaa

Ni bora ukafanya chekup aisee, maana sometimes hupelekea magonjwa mengine mazito sana, kama uko Dar mtafute dokta mmoja anaitwa Dokta Khan pale Regency atakusaidia mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…