Kuwashwa

Kuwashwa

Chocs

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
8,411
Reaction score
4,777
Habari wapendwa.
Nina tatizo la kuwashwa miguu kuanzia magotini kushuka chini, yani najikuna mpaka kunatoke kipele kinachoweka maji kama lengelenge na bado sehemu hiyo hiyo itawasha bila kupoa na najikuna mpaka najiacha na alama,hospital naishia kupewa piriton af hainisaidii,yani ata mbu akining'ata mtindo ndo huo kujikuna mpaka basi..tatizo ni nini? Au nina upungufu wa madini gani mwilini? Msaada tafadhali.
 
Habari wapendwa.
Nina tatizo la kuwashwa miguu kuanzia magotini kushuka chini, yani najikuna mpaka kunatoke kipele kinachoweka maji kama lengelenge na bado sehemu hiyo hiyo itawasha bila kupoa na najikuna mpaka najiacha na alama,hospital naishia kupewa piriton af hainisaidii,yani ata mbu akining'ata mtindo ndo huo kujikuna mpaka basi..tatizo ni nini? Au nina upungufu wa madini gani mwilini? Msaada tafadhali.

nenda hospital kapime alergy
 
Back
Top Bottom