Kuwasoma watu their 'body language'

mi nikimtamani mwanamke atajua tu! Coz kila nikimuona macho yangu siyabandui kifuani au hapo kwenye mashine yake! Na nikipishana nae lazima nimgeukie nitizame plate number!

ha haaa unawafanya wengine wapite karibu yako wajisikie tu vizuri lol
 
Hata below 35 huwa tunajua kusoma hizo body language. Kama ni mtu unayeinteract nae mara kwa mara kabla hajatamka lolote unakuwa ushaanza kuhisi anachotaka.
 
hata below 35 huwa tunajua kusoma hizo body language. Kama ni mtu unayeinteract nae mara kwa mara kabla hajatamka lolote unakuwa ushaanza kuhisi anachotaka.

in that case ukirahisisha mawasiliano na huyo mtu means unampa green light?????
 
<br />
<br />
 
Mwanamke ni rahisi sana kujua kama jamaa kamzimia kwa kumuangalia machoni tu, hapo inabaki kazi kwake tu kumalizia kwa kumrahisishia njia huyo mtamaniaji,mwanamke unaemtamani kwenye shughuli zako lazima atakujua tu, kuna favor fulani au kipaumbele ya mambo yake utakuwa unampa, natoa mfano mmoja kama ofisini, mwanaume wa IT ampende wa admin, akiwa na tatizo ataacha hata computer ya MD akimbilie kumtatulia, na hapo unasoma tu mazingira, na hapo bado hajamwambia msichana neno hata moja ila msichana anakuwa kashanote kitu
 
Jambo moja nikwambie The Boss,binadamu tunapenda kupendwa,unapomfukuzia mwanamke hata kama hakupendi rohoni bado anasikia raha kwamba unampenda na kumthamini,kwa hiyo wakati mwingine anaweza kuhisi unaanza ku lose interest atakupigia na si kwamba anakupenda sana ,la hasha ni ile tu attention seeking,ajisikie ana thamani.Mwanamke anayekupenda genuinily utamjua tu.
 

na ukirahisisha mawasiliano na huyo mtu?inawezekana kurahisisha mawasiliano
huku hutaki kitu kingine????
 
The Boss, vipi kwema? You sound kama vile yamekukuta na kuna mtu ana-make your heart goes hor horiiiiiiii
Jilipue mkuu acha kuweka vitu rohoni, ikibidi jilipue hata hapa jamvini
 
the boss, vipi kwema? You sound kama vile yamekukuta na kuna mtu ana-make your heart goes hor horiiiiiiii
jilipue mkuu acha kuweka vitu rohoni, ikibidi jilipue hata hapa jamvini

mkuu ukiona mtu mzima ana uliza swali simple kama hili ujue kuna kitu..lol
 
Chauro,absolutely true.
 
na ukirahisisha mawasiliano na huyo mtu?inawezekana kurahisisha mawasiliano
huku hutaki kitu kingine????
ndio nimesema kama unayo interest unarahisisha ili kama kuna muendelezo uendelee, lakini kumbuka kuna vijana wengine pia wanapenda tu kuwapa attention wasichana, au kwa kupenda company yao au kwa kuwaona wapweke kuwapa company, au pia kwa kujaribisha, haw wa mwisho huwa ni wabaya zaidi, sababu msichana anaweza kuwa yuko serious....haiwezekani kurahisisha mawasiliano wakati msichana hayuko serious ....for what sasa
 
na hao mi ndo nawachukia kupita kiasi,why fu....k me around kama hutaki kutoa mzigo?inahuuuu?
 
mkuu ukiona mtu mzima ana uliza swali simple kama hili ujue kuna kitu..lol
Nilijua tuuu.Sasa pia inabidi uwe makini. Kuna wanawake wengine hata umwonyeshe hizo the so called body languages walaaaaa hashtuki, utatupa jicho hadi ling'oke, utajikwaa hadi uvunje miguu, uta-smile hadi mashavu yaume........so ukiweza mtokee tu kichwa kichwa mwombe date politely then akikubali basi mwaga sera
 

ha haa
umenichekesha na hiyo ku smile mpaka mashavu yaume...

But hii yangu iko tofauti...naheshimiana mno na huyo mtu
halafu kanizidi sana umri....but najiuliza nikimtazama kimatamanio
anajua?na yeye kurahisisha mawasiliano means??????
 
Hata below 35 huwa tunajua kusoma hizo body language. Kama ni mtu unayeinteract nae mara kwa mara kabla hajatamka lolote unakuwa ushaanza kuhisi anachotaka.
ahsante kwa kuwa mkweli Husniyo
 
ha haa
umenichekesha na hiyo ku smile mpaka mashavu yaume...

But hii yangu iko tofauti...naheshimiana mno na huyo mtu
halafu kanizidi sana umri....but najiuliza nikimtazama kimatamanio
anajua?na yeye kurahisisha mawasiliano means??????
The boss, mapenzi hayaangalii umri wamtu, kwani hujawahi ona wanawake watu wazima wana mahusiano mazri tu na vijana waliowazidi umri?
huyo unayemuona mtu mzima huwezi jua na yeye anakuangalia kwa matamanio hayohayo, ila anza taratibu kwa kumuomba out ofa za lunch hv, huko unaweza pata nafasi ya kumuelewa zaidi
 
nimekwambia its complicated hapo<br />
what if she is married and older than me?????
Married and older than you ,we boss weee,sasa naanza kuhisi kwa kufungua uzi huu kumbe una maana,ushindwe na ulegee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…