Kuwasoma watu their 'body language'


we Dumelang wewe,amtoe out mke wa mtu? Ukisikia ukware huo sasa ndo utakuwa ukware.
 
Tatizo mabinti nowdays wanalipuka ile mbaya kiukweli inaitaji ugumu sana kutosurvey maungo yao hapa maswali huwa mengi sana dah ana titi balaa.. rangi yake nomaa.. toto guu limejaa n.k matamanio huanzia hapo so mwanamke ni rahisi kukusoma ila hata wao pia mbona tunawasoma ileile tu utakuta anakukodolea mimacho kama kabanwa na mlango
 
Wanaamini ni lazima mwanaume kama ana upendo wa kweli ni lazima siku ya kwanza kuzungumza na huyo mwanamke ni lazima awe na hofu
 


Boss 35 kote huko... kama ni mjuvi at 20 tayari you know a man who is interested in you... labda awe anakuangalia kwa mbali na you are not aware of him ndo waweza usijue... But yule ambae unamfahamu kwa karibu na anampango huo Kuna body languages flani ambazo yeye (mwanaume hutoa) na akiku-ignore kwa kuku ignore kweli inaonekana na yule ambae ana ku-ignore (kuonesha tu anaku ignore) hali he has interest nae pia honekana....

Na pia la muhimu kuna ile wamsoma kua he is in to you but won't make the move... na yule he is in to you na anakuvutia subira....
 
kwani ushawahi kumtania kitu chochote chamapenzi? Reaction yake ilikuwaje,
maana unaweza jua kama tafsiri yako ni sahihi kwa kujaribu vitu vidogo vidogo
ukimwona yuko serious sana ujue hataki mchezo

sijawahi kufanya chochote...hata utani never..
 
yaani kaanza kuwasiliana na wewe kwenye simu au?na unaposema yaliishia moyoni kivipi, yaani ulimtamani yakaisha ukaendelea na maisha?

haswaa
nilimtamani,yakaishia moyoni nikaendelea na life
 

so una maana huyu kashanisoma siku nyiingi?
 
so una maana huyu kashanisoma siku nyiingi?



Katika post yako ya kwanza sijaona kama ume insinuate kua kuna mwanamke kafanya hivo (sorry didn't have the energy ya kusoma the whole thread - nasoma kesho) labda naomba niambie post # ngapi umeongelea hilo...
 
ulichoongea kimenigusa
chukulia kuna mdada mtu mzima ambae huwa unmtazama na kumtamani
halafu ghafla amekutafuta kwa ishu nyingine,labda kakupigia simu na wewe hukuwahi kumpa hiyo namba
je hapo maana yake keshakusoma na anakupa urahisi au?

Telepathy......................!!!!!????
 
The boss, ni kweli kabisa anaweza kukutokea mtu ukashangaa kabisa, kwa kuwa hukuiona ikija kabisa, ila kuna watu wengine ni rahisi kuwasoma kwamba yuko so in to you kiasi he cant help himself when around you, na siku zote wa aina hii huwa wanatia huruma,anaweza kukuona akajimwagia hata chai kma kashika kikombe
 

wanajimwagia chai?aisee. Lol
 
mfano bana, ndio wanajimwagia tu ovyoovyo

but wanawake wengine huwezi jua kabisaa
yaani unamtongoza,anakusumbua,siku unampata ndo anakwambia
dah ,siku ya kwanza nilivyokuona,we acha tu..unabaki unashangaa..lol
 
but wanawake wengine huwezi jua kabisaa
yaani unamtongoza,anakusumbua,siku unampata ndo anakwambia
dah ,siku ya kwanza nilivyokuona,we acha tu..unabaki unashangaa..lol
Ndivo tulivoumbwa the boss, mtuvumilie tu, huwezi onyesha ukimpenda mtu, tena utataka hata usikutane nae macho kwa macho
ila akishakuwa wako tu ndio unakuwa free kumwambia sasa kwa mbwembwe
 
ndivo tulivoumbwa the boss, mtuvumilie tu, huwezi onyesha ukimpenda mtu, tena utataka hata usikutane nae macho kwa macho
ila akishakuwa wako tu ndio unakuwa free kumwambia sasa kwa mbwembwe

hiyo ya kukwepesha macho ndo usiseme
unaweza fikiri hajakuona,kumbe kakukagua chini mpaka juu
womens bana lol
 
Hata mtoto mdogo ukimwangalia kwa jicho la ukali au kirafiki anajua sembuse nyie watu wazima? Ndiyo maana sometimes watu hawafikii kutongozana wanajikuta wako whether kitandani au sehemu ya faragha wanakubalianna kufanya kitu fulani siyo discussion ya jinsi gani wafanye.

Ki ukweli mimi najua mtu ana nia gani kwangu, hapo naweza andaa mazingira ya kumblock au kumkaribisha kama roho yangu imemdondokea.
 

hiyo ya kujikuta kitandani na mtu,imewahi kukutokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…