Hivi the boss mwanamke akikutolea mimacho, na kukwambia akiyamungu nakuzimia kweli kila akikuona si utaogopa kabisahiyo ya kukwepesha macho ndo usiseme
unaweza fikiri hajakuona,kumbe kakukagua chini mpaka juu
womens bana lol
hivi the boss mwanamke akikutolea mimacho, na kukwambia akiyamungu nakuzimia kweli kila akikuona si utaogopa kabisa
tunasubiria mwanaume aanzishe bana,japo kuna wanawake wanaanzishaga lakini waanaume lazima wanakuwa na maswali
kweli kabisa caroline,mambo mengine yanajiseti yenyewe sio lazima process za mitongozo zianzeHata mtoto mdogo ukimwangalia kwa jicho la ukali au kirafiki anajua sembuse nyie watu wazima? Ndiyo maana sometimes watu hawafikii kutongozana wanajikuta wako whether kitandani au sehemu ya faragha wanakubalianna kufanya kitu fulani siyo discussion ya jinsi gani wafanye.
Ki ukweli mimi najua mtu ana nia gani kwangu, hapo naweza andaa mazingira ya kumblock au kumkaribisha kama roho yangu imemdondokea.
invitation to treat sio, watundu wanafanya sana hiyo ila kama mwogamwoga unaangalia kwa chati kama mwizi vilemimi naipenda ile 'inaita invitational eyes'
mwanamke anaweza aiseme wala kukutazama sana,but kuna jicho ukipewa
kama mtu mzima unaelewa....
hiyo ya kujikuta kitandani na mtu,imewahi kukutokea?
ndiyo. Mwanaume anayetongoza huwa namuona **** kwa sababu ana mbinu nyingi za kumfanya mwanamke amauelewe kuliko kuanza kuongea pumba sometimes unaongea vitu ambavyo huwezi kutimiza. Hata kwa wanawake, tunajua style za kutoka nazo, kujipamba ili nikitoka tu, the boss ananidaka bila hata kusema mie najua hapa buzi ***** limeingia kwenye 18 zangu! Hapo vipi the boss?
Kwa hiyo kama sio mtundu imekula kwako hiyo, ni kweli kabisa kama ipo access ni kazi rahisi sanani rahisi kama kuna access na mtu husika
but kama mnaonana kwa juu juu inabidi utundu uchukue nafasi..lol
ha ha haaa
wewe waonekana mtundu saana....
Kumi na nane sio? Lol
kwa hiyo kama sio mtundu imekula kwako hiyo, ni kweli kabisa kama ipo access ni kazi rahisi sana
the boss, kuna watu wanachat hapa hawajuani, siku wanapanga kukutana hawaulizani inakuwaje wote wanaelekea upande ule mawaazo yao yanapowapeleka. Sasa hivi tuombe mungu mauzauza mengi yametokea. Kizazi cha watoto wetu ni kwa maombi tu mungu atenge muujiza.
Hapo sasa unakuwa ushachelewa mwana, maana keshachukuliwa, inamaana na ww ulimpenda sana ila hukumwambia, umekuja mwambia ulipkutana nae majuz, wakati keshaolewa na watto juu, haapo labda kuwe na plan Bunajua huwa sometimes unakutana na mtu
baada ya miaka kadhaa,tena keshaolewa na watoto mfano
halafu anakwambia enzi zile shuleni,au mtaani nilikuwa sijiwezi juu yako
imenitokea hiyo,unabaki unazubaa lol
hapo sasa unakuwa ushachelewa mwana, maana keshachukuliwa, inamaana na ww ulimpenda sana ila hukumwambia, umekuja mwambia ulipkutana nae majuz, wakati keshaolewa na watto juu, haapo labda kuwe na plan b
nilijua tu lazima ulienda for plan B, haha lolha haa talking of plan b lol
Siwezi kukujaji,sometimes tunaopt bad choice, lakini katikati ya bad choices we find ourselves in good choicethe only choice sometimes lol
Nimeona kabisadah...umeonaa eeh?