Kuwateua waliobagazwa haifuti historia kuwa walidharauliwa na kubagazwa

Kuwateua waliobagazwa haifuti historia kuwa walidharauliwa na kubagazwa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Na kwa vyovyote vile watakuwa wakifanya kazi kwa tahadhari kubwa na inapobidi "kumzunguka" watamfanya hivyo.

Tatizo kubwa ni ukosefu wa subira pale mteuzi anapopokea umbea wa mteule. Anakurupuka kutumbua, halafu baadaye sana ndiyo anakuja kugundua kuwa aliingizwa chaka.

Lukuvi na Kabudi japo wamebembelezwa sana kukubali uteuzi, wasifikiri wamefika. Umbea bado upo, tena upo mwingi sana. Soon tutaona wanatenguliwa.

PIA SOMA
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
 
Wewe kataahira, ulikuwa unakata viuno eti sukuma gang imekomeshwa!

Unaona sasa mama kaona hawa ndio wazarendo wa kweli siyo ile mikweche yenu iliyotupwa jalalani juzi
Alifikiri Makamba atadumu milele
 
Wazee wanaenda kutumika kwa ajili ya uchaguzi
Kazi ikiisha wataondolewa kuitwa wamezeeka
Mswahili SI mtu usimwamini!!!
 
Wewe kataahira, ulikuwa unakata viuno eti sukuma gang imekomeshwa!

Unaona sasa mama kaona hawa ndio wazarendo wa kweli siyo ile mikweche yenu iliyotupwa jalalani juzi
Na mwaka kabla haujaisha Dk. Kalemani na Dk. Bashiru wanatia timu!
 
Back
Top Bottom