Kuwatoa wajenzi Malawi kuwaleta Tanzania wanahitaji vibali gani?

Kuwatoa wajenzi Malawi kuwaleta Tanzania wanahitaji vibali gani?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Habari zenu jukwaa.

kuna kiwanja nilishawahi kukipata na kukipigia fensi, nataka niaze ujenzi mwezi wa sita.

Dhumuni kuu la kuwaleta mafundi wamalawi ni ile sifa yao wanayojulikana kuwa nayo HONESTY / UAMINIFU japo soo wote, lakini pia huko Malawi gharama zao za ufundi zipo chini.

vitu gani vinahitajika ili wasipate usumbufu wa vyombo vya sheria ?
 
Habari zenu jukwaa.

kuna kiwanja nilishawahi kukipata na kukipigia fensi, nataka niaze ujenzi mwezi wa sita.

Dhumuni kuu la kuwaleta mafundi wamalawi ni ile sifa yao wanayojulikana kuwa nayo HONESTY / UAMINIFU japo soo wote, lakini pia huko Malawi gharama zao za ufundi zipo chini.

vitu gani vinahitajika ili wasipate usumbufu wa vyombo vya sheria ?
Yani mtu akisoma hapa atajuwa unajenga ghorofa 10 au apartment kibao, kumbe nyumba ya vyumba vitatu tu.

Una mbwembwe Sana, sasa sheria unatakiwa uende uhamiaji kuwaombea working permit.
 
Kibongo bongo
We walete tu wapige kazi
 
Unanikumbusha Kuna rafiki zangu watatu walipiga dili ndefu kazini kwao, wakanunua viwanja jirani, wawili wakajenga nyumba Kali tu zisizo na mbwembwe... Mmoja akajenga ghorofa afu wapauaji akawatoa Kenya, aisee mpaka Leo nyumba inavuja balaa na pesa zilishakata...

Finishing hakumalizia, mwaka na tatu huu anahangaika kuliuza tu...

Nyumba ya kuishi unataka ulete fundi kutoka Malawi... Hii ni matusi kwa mafundi wazawa
 
Mafundi wa Tz wako vizuri kama unahitaji fundi muaminifu nicheki nikupe namba ni kijana mkamilifu under 30 mwaka juzi amekabidhiwa majengo kibao ya serikali ikiwemo hospital ya sinza kuiweka sawa bei zake ziko reasonable don't hesitate to check me
 
Sheria za nchi haziruhusu kutumia Watalaam wenye ujuzi ambao unaweza kuwapata hapa nchini. Kwa hiyo ni kosa kisheria kuwaajiri mafundi unaotaka kuwaleta. Ili usiingie kwenye matatizo jitahidi utafute Mafundi wenye qualities unazohitaji kutoka nchini.
 
Back
Top Bottom