Kuwavulia nguo wahitaji ni hatari

Kuwavulia nguo wahitaji ni hatari

Kiplayer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,180
Reaction score
1,964
Simaanishi kilichokuja kichwani mwako. Kuvua nguo kwa hapa namaanisha kutoa msaada wa mavazi ambayo wewe ulikuwa unavaa. Katika Imani za kiroho/kishirikina mavazi inaaminika Yana nafasi yake katika kuomba mabaya au mazuri kwa mtu mvaaji. Ukimpatia mhitaji halafu wenye Nia ovu waingilie kati na kuyatia mikononi mwao hayo mavazi hauko salama.
 
Nilikuja mbio mbio nikijua ni ule uvuaji nguo mwingine [emoji16]
 
Simaanishi kilichokuja kichwani mwako. Kuvua nguo kwa hapa namaanisha kutoa msaada wa mavazi ambayo wewe ulikuwa unavaa. Katika Imani za kiroho/kishirikina mavazi inaaminika Yana nafasi yake katika kuomba mabaya au mazuri kwa mtu mvaaji. Ukimpatia mhitaji halafu wenye Nia ovu waingilie kati na kuyatia mikononi mwao hayo mavazi hauko salama.
Aaghh hizo ni Imani tu, Mimi nimefanikiwa kufikia malengo Yangu mwaka huu kuwa na nguo chache kadiri niwezavyo. Kwa Sasa Nina
1. T-shirt 10
2. Mashati 5
3. Jeans 3
4. Suruali za kitambaa 3
5. Cardet za kichina (suruali) 3
6. Kaunda Suit 1
7. Suit 1
8. Viatu 2pair
9. Raba 2pair
10. Sandals 🩴 pair 3

Baaaaaaaasi siihitaji nguo zaidi ya hizo, zilizobaki zote nimegawa Kwa wahitaji.
 
Nia njema hailogwi kijana toa kwa nia moja wanga na walozi utakuwa unawasikia tu
 
Sasa wazungu wanaoleta mitumba kwetu si wanvekuwa wamejaa kurogwa?
 
Back
Top Bottom