Ha ha ha... Kazi kweli kweli...jamani eeeh basi mimi tayari nimepungukiwa akili na umri wangu utakua mfupi.
Mi ningekufa kabla sijazaliwa.mimi ningekuwa nimekufa na miaka 2
................., je ni kweli kuwaza ngono kunafanya mtu kupungukiwa akili na muda wa kuishi.............................................
Aisee... This is serious...!!ni kweli kabisa....... kiasi kinachopungua ni kidogo sana na ndio maana hakionekani moja kwa moja................ lakini ni hatari zaidi kuelemewa na mawazo hayo kati ya miaka 25 na 50......... on the extreme case, unaweza hata kufa ghafla............... na hii ni kwaa jinsia zote.................
ni kweli kabisa....... kiasi kinachopungua ni kidogo sana na ndio maana hakionekani moja kwa moja................ lakini ni hatari zaidi kuelemewa na mawazo hayo kati ya miaka 25 na 50......... on the extreme case, unaweza hata kufa ghafla............... na hii ni kwaa jinsia zote.................
Mbona ukiwaza umaskini mtu hufi? e.g hospital bills, kazi, njaa etcwhats so special na sex? au file lake ni zito sana kichwani kwa mwanadamu linatumia nguvu nyingi ku download?
Yani kazi kweli kweliJamani hawa ndio walee!!, tunaoambiwa tuwapishe na mbali.
Kwanza ni dokta toka wapi?, kasomea wapi? ama ni hizi shahada za hapa-pale
Du.....! Hili jipya kabisa! Kwa mfano ukiwaza kwa muda wa masaa mawili utapunguza muda gani? Kama kuwaza tu inapunguza muda wa kuishi, je kufanya? Threads zingine bana ni za kuangalia kwa makini sana!
Labda ndio maana mimi huwa nikisafiri mke wangu analia anaumwa mgongo, mara tumbo nk. Nikimwambia aende hospitali hataki, lakini nikifika tu, kesho yake amepona kabisa!
[/COLOR]
Anapona na nini?