Kanuni zaligi yetu hairusu,mechi za ligi kuu kuchezeshwa na waamuzi kutoka nje ya nchi.Kama utakumbuka Kuna wakati MaNaRa alitaka mechi za deby ya Tz ichezeshwe na waamuzi kutoka nje,na aliambiwa kanuni haziruhusu,tuwe wapole wale Mbeleko fc,Walalamishi fc, hawaishiwi viroja kuelekea 11desemba,kaa mkao wa kusubiri.Habarini wana sports wenzangu.
Kwa hali ya mienendo ya waamuzi kwenye ligi yetu ilivyo. Naona wanaweza poteza ladha ya soka letu hasa inapokuja mechi kubwa kama hii ya tarehe 11.
Hebu fikiria watu wamewekeza kiasi gani cha pesa halafu anakuja mwamuzi anachezesha hali ya kua na matokeo yake kichwani.
Imefika wakati sasa Tff kutafuta waamuzi toka nje ya nchi ambao hawatakua na mfungamano na timu yoyote na wasitangazwe mpaka siku ya match.
Ni muda muafaka sasa kanuni hizo ziweze kubadilishwa ili kuondoa sintofahamu za maamuzi ya kufikirisha.Kanuni zaligi yetu hairusu,mechi za ligi kuu kuchezeshwa na waamuzi kutoka nje ya nchi.Kama utakumbuka Kuna wakati MaNaRa alitaka mechi za deby ya Tz ichezeshwe na waamuzi kutoka nje,na aliambiwa kanuni haziruhusu,tuwe wapole wale Mbeleko fc,Walalamishi fc, hawaishiwi viroja kuelekea 11desemba,kaa mkao wa kusubiri.