Kuweka Bendera ya Taifa katika eneo lako la makazi

Kuweka Bendera ya Taifa katika eneo lako la makazi

kwaida

Member
Joined
Apr 24, 2014
Posts
14
Reaction score
14
Habari wana jamvi je ni kosa kisheria kupeperusha(kuweka) bendera ya taifa katika eneo lako la makazi (kuweka kama wanavyoweka katika mahoteli, ofisi za kiserikali n.k)?
 
Inaruhusiwa tu kwa ofisi za kiserikali na balozi kama unataka bendera lazima upate kibari maalumu kwani bendera ya taifa ni nembo muhimu ya taifa hivyo lazima iheshimike.
 
Back
Top Bottom