Kuwekeza mbali na unapoishi

Kuwekeza mbali na unapoishi

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Mfano wewe unaishi Dar es Salaam, na umewekeza shamba labda Morogoro au Iringa au Singida au Shinyanga, hii iko sawa au mpaka uwe na shamba lililo karibu na wewe??
Kuna baadhi ya marafiki zangu wanasema kuwekeza mbali kunatesa zaidi kuliko kuwekeza karibu na unapoishi.
Hii imekaaje wakuu?
 
Kweli mkuu gharama za uendeshaji zinakuwa nyingi sana! Mimi nina shamba lindi ni shida sana safari ya lindi to dsm inanikost sana!
 
sikuhizi technologia imeeongezeka sana.unaweza wekeza shamba maeneo ya mbali na bado likaendeshwa mashine bila uahitaji wa mtu
 
Kweli mkuu gharama za uendeshaji zinakuwa nyingi sana! Mimi nina shamba lindi ni shida sana safari ya lindi to dsm inanikost sana!

Pole sana mkuu, lakini kama inalipa unaendelea nayo tu huwezi jua at the end mambo yatakuwa mswano...mimi hii hali imenitisha kidogo lkn ukiwa risk taker utakula matunda mwisho wa siku!

Hapa ni kupambana tu!
 
Back
Top Bottom