Kuweni makini na facebook

Tatizo Syo facebook,Tatizo uwezo wa Mke au mumeo kufikri.

Ni wazi tatizo siyo Facebook lakini huwezi ukakataa it's role in facilitating infidelity. Ask matrimonial lawyers and they will fill you in on the role it plays in the dissolution of marriages.
 
Mbona hata hapa jf tunakutana na vimbwanga.
Ni tabia ya mtu tu. Ukijilegeza umekwisha.
Jf vijana wengi damu zao zinachemka. Lol!
 

Lizzy hii thread inatoa picha halisi ya ile maana ya kupenda penda. Si umeona? Bye
 

Somoche hata ujitetee vipi umeandika pumba humu siku ingine fikiria kabla hujaandika upuuzi wa ku conclude kitu kama vile yaani sijui nikuiteje

Huyo mke ni uamuzi wake huyo rafiki yako hujui yaliyomo ndani ya ndoa yao unakuja dakia tu

Mkewe ameamua kama ni kicheche, au mume amfurahishi etc weye nini kuja kusema tujiangalie na wenzetu?

Kuna dating sites nyingi sana siku hizi msaidie basi weye mtu mwema akam search humo na atamuona kajaa tele

Siku hizi tabia ya mtu ni mtu sio kuja kutuambia na mahasira yamekujaa kama vile unawish ingekuwa wewe na huyo rafiki yako utajuaje kama yeye ndio kamfunza mkewe kwa kuiba nje sasa mkewe kaamka ndio analia

Pia jua wanawake wengine wenye mimba hamu ya m huwa inazidi na pia kuna wanaume wanapenda kulala na wanawake wenye mimba

Pwiiiiii
 
samahani bandugu! Naomba kuuliza!! Facebook ni kitu gani???
 
Daaah
part two ya maajabu ya ndoa...
Thanx facebook....
Good bless JF....
 
samahani bandugu! Naomba kuuliza!! Facebook ni kitu gani???

Ni sura kitabu

Website ambayo unaweka picha
na ukipenda kuelezea nini unafanya
and so on..
kitu kizuri kuhusu facebook
waweza kikutana na ndugu,jamaa na marafiki
mliopotezana kwa muda..

Is good site.. especially kama una business
Ni site nzuri kwa ku advertise....

Check it out
 
baada ya kuilaumu facebook...ongezea na mitandao yote...na makampuni ya simu...laumu teknolojia kwa ujumla.
ila usisahau kuwabebesha lawama wajenzi wa hoteli na gesti...
 
Tatizo sio Facebook bali ni huyo mwanamke, hata angekuwa huku JF watu wangemmega!!
 
Huyu jamaa yuko sahihi. Malengo ya Facebook ni social networking. Sasa hii social networking ina walakini, mtu unakuwa na watu elfu 3 kama marafiki, lakini unaowajua hawazidi kumi. Mara zote mnaishia kutongozana, kwani watu wanachati hadi kukosa la kuongea. Na wengine wanapachika picha za mitego.
 

Mi naona hapa haujalenga jinsia moja. Ila mkuu siyo fb tuu, kila mahali sasa kupitia .com watu wanafanya mambo ya ajabu sana. Hata mimi nilikuwa na rafiki yangu alipata wrong number ya mwanamke akalewa na sauti yake akijua ni mrembo. Jamaa alikaribishwa kwake huyo mama alipofika akaona ni bibi na wajukuu zake wakaanza kumtania 'karibu shemeji'.
Huyo mama ni kicheche tu, haiwezekani anamimba kubwa tu halafu analala na mwingine tena wa kwenye mtandao.
Mwambie jamaa yako huenda hata mimba anayolea siyo yake.
 
Suala hapa sio huyu shemeji yangu kumegwa...amemegwa akiwa na mimba ya miezi 5!!! na kwa jinsi alivomuambia mume wake alikutana na huyu jamaa FB na akalala nae the whole nite akiwa ameaga anaenda kwao Tanga!!! jamaa yuko njiapanda amuache ama avumilie huu ufuska?!!
 
Hapa mkubwa unatupotosha. Mtu kujamba chooni si ajabu na vivyo hivyo tabia ya huyo mke wa rafikiyo.

Madhara ya kitu yanategemeana na jinsi unavyokitumia. Kwa mfano panadol ukiitumia hata kwa case ndogondogo kama kuumwa kichwa ambapo dawa ingeweza kuwa kupumzika na kunywa maji ya kutosha inaweza kusababisha ugonjwa wa figo. Kwa kuwa kuna evidence ya watu kuumwa figo kwa sababu ya panadol, je unatushauri nini? Hakuna kisicho na madhara chini ya jua, hata matunda pamoja na health benefits zake ukiyatumia vibaya yana madhara.

Wana JF endeleeni kujiachia na facebook na forums nyingine kwa raha zenu... muhimu tu ni kupima kipi unafanya ambacho usingependa kukiona magazetini siku inayofuata.
 
Mi nadhani kila kitu kama utakitumia kwa madhumuni mazuri basi kitakuwa na matokeo mazuri , kama ni mabaya basi matokeo yake yatakuwa mabaya. Face book wengi tunaitumia na inatusaidia sana hasa kwenye mambo ya kibiashara na other important connections.
Huyu mdada au mke nadhani hicho ni kitabia chake tu cha kupenda kugawa gawa hovyo huku akijua ana mume wake tena ana mimba. Hata kama siyo kwenye face book hata angetongozwa huko gengeni na muuza nyama angekubali tu kwa vile anaonekana hajatulia.
 
Mbona hata hapa jf tunakutana na vimbwanga.
Ni tabia ya mtu tu. Ukijilegeza umekwisha.
Jf vijana wengi damu zao zinachemka. Lol!

Husninyo usinambie na humu kuna blind dating! Mume wangu asije nipiga marufuku kutembelea JF bure.

Ila formular yangu maishani ni kuwa hakuna mzaha kati ya mtoto wa kiume na wa kike. Watu mnataniana humu mwisho mtafanya kweli. Ukifuatilia threads zangu I always try to sound serious. Msinishambulia lakini hii defense mechanism ina work.
 
Ila formular yangu maishani ni kuwa hakuna mzaha kati ya mtoto wa kiume na wa kike. Watu mnataniana humu mwisho mtafanya kweli. Ukifuatilia threads zangu I always try to sound serious. Msinishambulia lakini hii defense mechanism ina work.

Huo ndio ukweli wenyewe!
 
Hizo ni habari nyepesi ingawa zaweza kuwa na ukweli, dhambi ni suala linalokaa moyoni na sio kwenye facebook. Huyo dada alikuwa na shida hiyo na kwa vyovyote vile angetimiza azma yake hiyo hata kama asingekuwa kwenye facebook. Nas sio kweli kwamba wote kwenye facebook wanajadili mambo ya ngono, sie wengine tutajadili mambo ya maana ya maisha ya kutumikia jamii kupitia facebook. Usiwe mwepesi kuhukumu bila kujua jajmbo kiundani sawa?
 

Jamaa wamesha mmegea tena halafu anasema yupo njia panda hayuko serious inaonekana tatizo siyo fb bali ni jamaa mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…