Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Sijui ni kwangu tu leo siku kama ya nne halotel wamekuwa na huduma mbovu kwenye Halopesa.
Naona kuna baadhi ya watu pia wanalalamika, unaweza kufanya muamala au kulipia bill halafu hawaleti msg za muamala na hela inachukuliwa.
Ukipiga hawapokei wanakuweka kinanda hadi simu inajikata.
Naona kuna baadhi ya watu pia wanalalamika, unaweza kufanya muamala au kulipia bill halafu hawaleti msg za muamala na hela inachukuliwa.
Ukipiga hawapokei wanakuweka kinanda hadi simu inajikata.