Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wapendwa habarini za kwenu
naona ni vyema kukumbushana kwa wale walioamua kuja kutest laza ya ndoa na kuona kwao inawashinda si mbaya kama mkikaribisha michango ya kuvunja ndoa zenu pia na si wakati wa Harusi pekee
ni vizuri kama mliwalisha watu wakaenda ****** mara kadhaa pasipo na simila si mbaya mkawakaribisha wakati mnapoamua sasa jamani yametushinda...na mtupe sababu kama livyotupa za kuoana jamani nimepata mchumba sasa nataka nioe awewangu maishani lakini si sikuzote..urudi kutueleza jamani mmh yamenishinda na kamaa choo basi nimeingia cha kike wenye uelewa wataelewa na kupitia vikao tunaweza kuangalia hii ya kuvunja ama tunaweza kuwapatanisha...lakini amtutendei haki michango yetu mnapooana na wakati mnatalikiana tunaitaji mnuso kama wa ndoa yenu
nawatakia HARUFU NJEMA YA NDOA YENYE FARAJA NA MAFANIKIO kwa walwe mnaaooana kesho makanisa yote
naona ni vyema kukumbushana kwa wale walioamua kuja kutest laza ya ndoa na kuona kwao inawashinda si mbaya kama mkikaribisha michango ya kuvunja ndoa zenu pia na si wakati wa Harusi pekee
ni vizuri kama mliwalisha watu wakaenda ****** mara kadhaa pasipo na simila si mbaya mkawakaribisha wakati mnapoamua sasa jamani yametushinda...na mtupe sababu kama livyotupa za kuoana jamani nimepata mchumba sasa nataka nioe awewangu maishani lakini si sikuzote..urudi kutueleza jamani mmh yamenishinda na kamaa choo basi nimeingia cha kike wenye uelewa wataelewa na kupitia vikao tunaweza kuangalia hii ya kuvunja ama tunaweza kuwapatanisha...lakini amtutendei haki michango yetu mnapooana na wakati mnatalikiana tunaitaji mnuso kama wa ndoa yenu
nawatakia HARUFU NJEMA YA NDOA YENYE FARAJA NA MAFANIKIO kwa walwe mnaaooana kesho makanisa yote