Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Pamoja na kuwahi kuishi katika nchi ya tofauti na Tanzania,ninaamini nchi yetu hii ni moja kati ya nchi zinazoongoza kwa kutofuatwa kwa maadili ya utendaji kazi hususani katika tasnia ya uandishi wa habari.
Kama ni kitu kinachovunwa kutoka darasani basi nina wiwa kusema kuwa Mwandishi Moh'd Kuyunga na "Kanjanja" Bin Zubeiry walihitimu darasa 1 na ndo maana siku zote wamekuwa wakishindwa kabisa kuficha mapenzi kwa team wanazozishabikia katika kazi zao za uandishi wa habari.
Tukiweka ushabiki pembeni kuna hoja ya msingi sana katika mada iliyowekwa hapa na Baba Kiki kuhusiana na habari ya kubezwa kwa ushindi wa Simba katika Kombe la Mapinduzi na habari nzima inaonyesha waziwazi jinsi Bwana Mohamed Kuyunga alivyo mnazi wa upande mmoja kama ilivyo kwa mwenzake "Kanjanja" Bin Zubeiry na habari yake ya tuzo za Wachezaji waliofanya vizuri katika mashindano hayohayo ya Mapinduzi Cup.
Katika habari hiyo kwa kushindwa kuzuia Mahaba yake kwa Mnyama "Kanjanja" alijikuta akipotosha wasomaji wa Blog yake kwa kuandika kuwa Peter Manyika, Hajibu na Ndemla wamechukua tuzo za Kipa bora, Mfungaji bora na Mchezaji bora wa mashindano.
Jamani hatukatai kila mtu ana uhuru wa kushabikia team aipendayo lkn ndo kwa kiwango cha kuandika habari ya uongo just kufurahisha nafsi yako bila kujali kama inapotosha Jamii.
cha kusikitisha zaidi inaonekana Kanjanja yuko shallow kwenye hiyo sekta anayoiandikia habari kwani hutokea mara chache sana kwa team moja kutwaa tuzo zote zinazohusiana na mashindano iliyokuwa inashiriki kama alivyotunuku yeye tuzo zote kwa wachezaji wa team aipendayo tena kwa kivuli cha Jopo la Waandaaji ni afadhali angeziita tuzo za "Bin Zubeiry" basi tungeelewa moja.
Alivyo na bahati mbaya sasa hakuna hata chaguzi 1 aliyoiandika yeye iliyotokea kuwa kweli kwani tuzo zote 3 zilikwenda kwa watu wengine kabisa. Kwa maoni yangu wote wawili Mbeza ushindi wa Simba na huyu mtunuku tuzo za magumashi wana kitu cha kukifanyia kazi katika kazi zao kama kweli wanataka kuzitendea haki kazi taaluma zao na pamoja na yote (haya ya kutobeza ubingwa wa Simba wa Mapinduzi Cup) hakuondoi dhana kuwa hii team ya Simba siku hizi imekuwa ni team ya makombe ya Mbuzi na yale ya Mabonanza.
Kama ni kitu kinachovunwa kutoka darasani basi nina wiwa kusema kuwa Mwandishi Moh'd Kuyunga na "Kanjanja" Bin Zubeiry walihitimu darasa 1 na ndo maana siku zote wamekuwa wakishindwa kabisa kuficha mapenzi kwa team wanazozishabikia katika kazi zao za uandishi wa habari.
Tukiweka ushabiki pembeni kuna hoja ya msingi sana katika mada iliyowekwa hapa na Baba Kiki kuhusiana na habari ya kubezwa kwa ushindi wa Simba katika Kombe la Mapinduzi na habari nzima inaonyesha waziwazi jinsi Bwana Mohamed Kuyunga alivyo mnazi wa upande mmoja kama ilivyo kwa mwenzake "Kanjanja" Bin Zubeiry na habari yake ya tuzo za Wachezaji waliofanya vizuri katika mashindano hayohayo ya Mapinduzi Cup.
Katika habari hiyo kwa kushindwa kuzuia Mahaba yake kwa Mnyama "Kanjanja" alijikuta akipotosha wasomaji wa Blog yake kwa kuandika kuwa Peter Manyika, Hajibu na Ndemla wamechukua tuzo za Kipa bora, Mfungaji bora na Mchezaji bora wa mashindano.
Jamani hatukatai kila mtu ana uhuru wa kushabikia team aipendayo lkn ndo kwa kiwango cha kuandika habari ya uongo just kufurahisha nafsi yako bila kujali kama inapotosha Jamii.
cha kusikitisha zaidi inaonekana Kanjanja yuko shallow kwenye hiyo sekta anayoiandikia habari kwani hutokea mara chache sana kwa team moja kutwaa tuzo zote zinazohusiana na mashindano iliyokuwa inashiriki kama alivyotunuku yeye tuzo zote kwa wachezaji wa team aipendayo tena kwa kivuli cha Jopo la Waandaaji ni afadhali angeziita tuzo za "Bin Zubeiry" basi tungeelewa moja.
Alivyo na bahati mbaya sasa hakuna hata chaguzi 1 aliyoiandika yeye iliyotokea kuwa kweli kwani tuzo zote 3 zilikwenda kwa watu wengine kabisa. Kwa maoni yangu wote wawili Mbeza ushindi wa Simba na huyu mtunuku tuzo za magumashi wana kitu cha kukifanyia kazi katika kazi zao kama kweli wanataka kuzitendea haki kazi taaluma zao na pamoja na yote (haya ya kutobeza ubingwa wa Simba wa Mapinduzi Cup) hakuondoi dhana kuwa hii team ya Simba siku hizi imekuwa ni team ya makombe ya Mbuzi na yale ya Mabonanza.