Kuzaa kwa njia ya upasuaji

duh.kama huna tatizo lolote bora ujifungue kwa njia ya kawaida maumivu yanaisha baada tu ya kujifungua lakini upasuaji utasota na kidonda mpaka ujute.

nashukuru sana.nilijua upasuaji ni rahic kumbe nayo ina maumivu
 
Upasuaji ni mzuri sana asikudanganye mtu.mtoto anakuwa salama na mwisho wa siku anakuwa na akili sana maana hapati shida ya kubanwa kichwa wakati wa kujifungua.Hivyo mtoto anatoka safi.pia risk yamaambukizo ya maradhi inakuwa kidogo sana.
Mwambia Dr wako akupasue kwa chini ili mshono usionekane.
 

daa sikujua hili, asante sana mpendwa kwa ushauri wako mzuri
 
kama huna tatizo lolote bora uzae kwa kawaida.
 
If huna tatizo lolote bora uzae kwa kawaida
 
Mie bwana nilitaka sana kawaida. Ila Mungu alitaka nifanyiwe CS. At first I was depressed ila sasa hivi nimekubali. Nilifanyiwa bikini cut na sasa hivi, 5 months down the line nimebaki na tu dots tu.
Of course kuna downside yake but I am happy to be alive and my baby is well.
 
Naomba kujua hasara zake wakuu

Placental complication for later pregnancies,increased risk of disease in baby like asthma,allergies or type 1 diabetes, infection, bladder problem can be seen after years. jaribu kufanyiwa ili uprove scientifically uje utupe utamu wake.
 

ulishawahi kufanyiwa? au kumuuguza mwenye operation?
 

Karucee kwa ule uzito wa mtoto wako halafu wa kwanza usingeweza kukwepa ila kwa yule wa kuomba mwenyewe utashangaa mliye enda naye labour siku moja siku ya tatu yupo shopping wewe ndo unaanza mazoezi naomba sana Mungu isije ikanitokea ulikuwa unakula nini hadi uzito ukawa ule?
 
Last edited by a moderator:
Naomba kujua hasara zake wakuu

Mpendwa Zury, mungu akikuwezesha kujifungua kawaida na kama madaktari na wauguzi wanaokuhudumia wanaona huna tatizo linalihitaji upasuaji ni vyema ukajifungua kwa njia ya kawaida, Upasuaji tukaacha pale itakapolazimu na jinsi utakavyokuwa unaendelea kupimwa na kuonwa wewe na mtoto mnaendeleaje wakati wa uchungu. Madhara ya upasuaji ni mengi, dawa tu ya usingizi ni hatari ama sindano ya mgongo wengine huita nusu ganzi nayo wakati mwingine huleta maumivu ya mgongo mara kwa mara, kidonda kukusumbua kama alivyosema The secretary, ikiwa ni kupata infection kikiwa bado kupona, kikishapona kovu lake huweza kusababisha utumbo kujishikiza baadae na kusababisha kubata utumbo kushindwa kupitisha chakula, inaitwa adhesions causing intestinal obstruction. Hayo ni baadhi ndio maana hata amdakatari hawapendi kufanya operesheni bila sababu kuwepo.
 
Last edited by a moderator:
Kama madaktari hawajakwambia kwamba lazima ufanyiwe C section ili kunusuru afya yako na ya mtoto mtarajiwa basi iepuke kabisa mikasi. Miaka ya karibuni kuna akina dada wengi wamekuwa wakiamua kufanyiwa C section wakidhani ni bora kuliko kujifungua kwa njia ya kawaida ukweli ni kwamba kujifungua kwa njia ya kawaida ni bora zaidi kuliko mikasi. Ila kama madaktari wameshauri hivyo basi hakuna namna bali kujifungua kupitia C section. Kama mhusika ni wewe kila la heri.

nashukuru sana.nilijua upasuaji ni rahic kumbe nayo ina maumivu
 
the best way of delivering is through natural process, that is vaginal delivery. when compared to abdominal delivery that is cs.
disadvantage of cs include, adhesions, sepsis, burst abdomen, ureteric injury, bladder injury, fistula, intestinal obstruction secondary to adhesions, placenta attaching in lower segment in the future pregnancy etc
 

hapo nilipobold, mkuu una hakika ama kuna tafiti zinaonyesha hivyo?
 
tafiti zipo tena nyingi tu.ukiweza fanya na wewe kwa watoto waliozaliwa kwa kisu.

Akili bado inabaki kuwa ni genetic issue vilevile na process ya ukuaji toka tumboni na mazingira ya nje yanayomkuza mtoto that is nurture and nature full stop hizi nyingine ni accidents tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…