Lakini wengine wanapingana na hilo na kuwa kuzaa kwa "Mkasi" kunamfanya mama asijue thamani ya mtoto kupitia uchungu wa mwana na hivyo kumwondolea upendo. Kwa mtazamo wao uzazi wa namna hiyo "Mkasi" uwe ni kwa wale tu walio katika hatari kuwa wakizaa kwa njia ya kawaida wanaweza kupoteza maisha.
Wadau, hii chaguo mbili zimekaaje?
- Hawa ni wavivu tu wa kusukuma.
- Pia kunakosekana strong bond kati ya mama na mwana . . ule msemo wa "Uchungu wa Mwana Aujuaye Mzazi" unakosa maana.
- Sijui dini zetu zinasema nini. Inawezekana ikawa ni kinyume cha maagizo ya Mungu kuwa "Utazaa kwa Uchungu"?
Kitaalamu mkasi huwa unatumika tu endapo wakati wa kujifungua ikaonekana mama hawezi tumia njia ya asili au kuna uwezekano wa kupoteza maisha yake na ya mtoto au mmoja kati yao, utumiaji wa mkasi kwa sababu za kukeep figure na mambo mengine ya kiurembo ni matakwa ya watu binafsi.
kuzaa kwa njia ya kawaida ni bora zaidi kwa mama mtoto kwani mwili unakuwa unafanya changes flani baada kujifungua kwa njia hii kama kuandaa maziwa mwilini kwa ajili ya mtoto.wanawake wengi wanajifungua kwa mkasi huwa saaa nyingine utoa maziwa kidogo sana kwa ajili ya mtoto mpaka hapo baadae kidogo mwili uzoee.na kuzaa kwa mkasi nadhani ina limit ya watoto wakati ya kawaida unaweza kuzaa wengi tu.madaktari wengi ushauri kuzaa kwa njia ya kawaida labda pale tu mtoto anapokuwa katika hatari flani ndio wanashauri kutumia njia ya mkasi.
Mkuu;
Kuna dada ana watoto wanne na wote amewazaa kwa kisu. Hii nayo imekaaje kama kuna limit?
Kuhusu kutoa Maziwa mengi au kidogo. Kuna maelezo yoyote ya Kisayansi ya tofauti hiyo?
- Hawa ni wavivu tu wa kusukuma.
- Pia kunakosekana strong bond kati ya mama na mwana . . ule msemo wa "Uchungu wa Mwana Aujuaye Mzazi" unakosa maana.
- Sijui dini zetu zinasema nini. Inawezekana ikawa ni kinyume cha maagizo ya Mungu kuwa "Utazaa kwa Uchungu"?
If u knoe something called CP (Cerebral palsy) you would never allow ur wife to deliver per vaginally. Data zinaonyesha kuwa ongezeko la watoto taahira linasababishwa kwa kiasi kikubwa na birth asphyxia. C/S is the best in terms of outcome! Take it or leave it, that is the reality!
Wana JF Wasalaam Aleykhum!
Kuna habari miongoni wa Wanawake hasa wenye uwezo wa Kiuchumi kwamba wao hawapendi kuzaa kwa njia ya asili ili kuepuka maumvivu na uchungu wa uzazi. Pia wakizaa kwa njia ya upasuaji, wanadai kuwa maumbo yao yanaendelea kuwa "Bomba".
Nadhani hapa ndipo kwenye matatizo makubwa katika matumizi ya sayansi, kwa kweli sasa sayansi inatumika hata katika vitu ambavyo viko natural
kiukweli mwili wa binadamu ni computer iliyotimia kabisa, mwanamke aanapokuwa na mimba mwili wote unajua kwamba kuna kitu kigeni ndani ya mwili na hivyo unajiamdaa kwa njia mbalimbali ili kkwenda sambamba na mabadiliko hayo, sasa wakati wa kujifungua ukifika kunakuwa na mawasiliano kati ya ubongo na viungo vya uzazi kwamba kile kitu ambacho kiliingia muda wake wa kukaa ndani umekwisha hivyo ni lazima kitoke, sasa nadhani hapa tatizo linakuja pale viungo vya uzazi vinaposhindwa kufanya kazi yake pale mtoto anapotolewa kwa njia ya operesheni, hivyo viungo vina adapt ile tabia, na uwezekano wa kuzaa tena kwa operation ni mkubwa sana
ni kama kama mwanamke anayetoa mimba, kama alitoa mwezi wa nne wa mimba, basi mwili unajua kwamba kila mimba ikiingia after 4 months lazima itoke, bas kunakuwa na matatizo makubwa ya misscarriage hapo
MWILI NI COMPYUTA ACHA UFANYE KAZI YAKE NATURALLY
Pia inapata virusi na minyoo na wakati mwingine inaabotiThanks mkuu, nimejifunza mengi toka kwako.... computer inaenda hedhi, inapata flu, inatunga mimba, inakata magogo nk.
from now on, i will follow your advice
Kuhusu bond hii nakupinga kwa sababu kuna akina mama wamezaa kwa njia ya kawaida na wanatreat watoto wao kama vinyago!!!
Kuhusu la maagizo ya mungu, sina hakika... ila je wanaozaa kwa operesheni huwa hawapati uchungu?
Hivi mwanamke akizaa kwa operation mzao wa kwanza, ni lazima azae kwa operation watoto watakaofuata?