Kuzaa Kwa Upasuaji V/S Kuzaa Kwa Njia Asilia

Hamna lolote, wameshaathiriwa na mchezo mchafu wa kufanya mapenzi kinyume na maumbile hivyo wanaona wakizaa kwa njia ya kawaida wataumbuka.

Clap... clap.... clap.... I wish there was one person to educate you more!!!
 
Clap... clap.... clap.... I wish there was one person to educate you more!!!

I wish for you to be the one to educate me more where i'm wrong....
 
du, kupasuliwa kitu cha kuogopa kumbe kuna watu wengine wanapenda, kweli dunia hadaa

Nadhani hukuelewa, kuzaa kwa opereshen ni option na kuna wakati watu wanaopt [inaitwa elective c-section].

Hakuna aliyesema anapenda!!! La hasha!!! kilichozungumziwa hapa ni kwamba baahi ya watu wanapima risk associated with both and then they make decisions. SOma posts vizuri na usichague maneno ya kujadili kwani siku zote ukifanya hivyo utakuwa unapotosha hoja

Kuna watu wameshawahi kuzaa kwa njia zote mbili, wanaweza kuwa mashuhuda wazuri, na pia kuna watu walianza njia ya kawaida na kuishia kwenye visu pia watasema waliyoexperience

Baadhi yetu tumeona faida ya c-section kwani tungechelewa 10 min ningepotenza mke wangu mpenzi na mtoto wangu ambaye kwa sasa anasoma!!!

IT ALL DEPENDS ON RISKS AND OPTIONS AVAILABLE JOJIPOJI....
 
I wish for you to be the one to educate me more where i'm wrong....

SIo hivyo ndugu yangu!!! It takes two to tangle and any education humu duniani inadepend sana na attitude ya wote wawili, mfundishaji na mfundishwaji....

BAsed on the two, i may not be the best person to do so.
 
SIo hivyo ndugu yangu!!! It takes two to tangle and any education humu duniani inadepend sana na attitude ya wote wawili, mfundishaji na mfundishwaji....

BAsed on the two, i may not be the best person to do so.

Mkuu nayaheshimu mawazo yako. Ila kwa uelewa wangu kuna baadhi ya wanawake ambao hu-prefer kujifungua kwa upasuaji kwa kuhofia kuumbuka na mchezo wao mchafu manake nasikia manesi huwa wanawasimanga hasa wanapotoa haja kubwa badala ya mtoto wakati wa kusukuma.

Kumradhi kwa lugha wakuu....!
 

haina noma mkuu, tupo hapa kujifunza na kusaidiana!!

Pamoja
 
mke wangu haji kuza kwa mikasi yao ya kizungu.mfano, na miaka ya 1902 kurudi nyuma.je kulikuwa na mikasi hocpitalini? kama cvyo kwann hisiwezekane akna mama wa kileo kuzaa bila mkasi mtoto akatokea sehemu ile.
 

Kuna dada mmoja alikuwa anaongea bila kujua kuwa mama yake ana msinirushie, alikuwa anasema itabid afanyie upasuaji ili maumbile yake yasiharibike looohh. .. mama yake akacharuka balaa na kumwambia akaone maumbile yake (mama) ilihali alishazaa watoto kumi kama yaliharibika. Bidada akakoma komi.
Kuzaa kawaida ni kuzuri sana iwe operation ikibidi sabab operation ina u kilema wake (kuchanwa na yale madawa ya nusu kaputi) na wa operation maumvivu ni baada ya kuwa na mtoto ihali wa kawaida ukishazaa imetoka hiyo.
Ni vizuri zaid kuacha nature I take place.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…