korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 666
habari zenu ndugu zangu! naombeni ushauri juu ya uzazi wangu huu...ni msichana mwenye umri wa miaka 28..nlibeba ujauzito hatimae nkajifungua kwa njia ya kawaida mtoto alkuwa na kilo 4.1..alikuwa ni mtoto wa pili! nlijifungua salama nashkuru Mungu mtoto wa kiume ila mtoto alikuwa amelegea yaan hana nguvu! nlipatwa na hofu...nlimlea huyu mtoto hakuwa mchangamfu km alivyokuwa dadaake! alipofika miez minne nlimpeleka hosp nkaripot kwa dr.lkn wanasema hana tatizo atakaa sawa tu! mh ckuwa nmeridhika nliwaona madaktari wengi lkn jibu lilikuwaa hilohilo...
wananiuliza analia ndio analia, anacheza sio saana, mtaratibu kuliko yule mwenzie! ndio nlipata daktari mwengine akanishauri nimpeleke akafinyiwe mazoezi ya viungo! namshukuru Mungu anaendelea vizuri lkn sina amani saaana kwa sasa ana 1.7yrs ni mtundu! anapenda michezo sana ila bado ana ile hali ya ulegevulegevu japo sio sana! naombeni ushauri dada zangu kaka zangu hili tatizo lilitokana na nn na namna ya kuliepuka hapo kwabaadae ntakapojipanga kupatamtoto mwengine!
natanguliza shukran zangu asanteni sana na Mungu awabariki!
wananiuliza analia ndio analia, anacheza sio saana, mtaratibu kuliko yule mwenzie! ndio nlipata daktari mwengine akanishauri nimpeleke akafinyiwe mazoezi ya viungo! namshukuru Mungu anaendelea vizuri lkn sina amani saaana kwa sasa ana 1.7yrs ni mtundu! anapenda michezo sana ila bado ana ile hali ya ulegevulegevu japo sio sana! naombeni ushauri dada zangu kaka zangu hili tatizo lilitokana na nn na namna ya kuliepuka hapo kwabaadae ntakapojipanga kupatamtoto mwengine!
natanguliza shukran zangu asanteni sana na Mungu awabariki!