Kuzaa ni kama kupenga kamasi

Kuzaa ni kama kupenga kamasi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Aisee nimetoka kucheka sana muda uliopita

Nilikuwa kwa mangi nakunywa soda ya pepsi akaja msichana mmoja na rafikiyake ambaye ni mama kijacho

Sasa bhana huyu mama kijacho alikuwa anaogopa siku ya kujifungua itakuaje mwenzake akamwambia usiogope kuzaa ni kama kupenga kamasi pyeee mtoto anatoka aisee nimecheka sana kwa kweli


NB:gonga like kama na wewe umecheka kama mimi
 
Aisee nimetoka kucheka sana muda uliopita

Nilikuwa kwa mangi nakunywa soda ya pepsi akaja msichana mmoja na rafikiyake ambaye ni mama kijacho

Sasa bhana huyu mama kijacho alikuwa anaogopa siku ya kujifungua itakuaje mwenzake akamwambia usiogope kuzaa ni kama kupenga kamasi pyeee mtoto anatoka aisee nimecheka sana kwa kweli


NB:gonga like kama na wewe umecheka kama mimi
Hii imebuma tafuta nyingine NO LIKE
 
Aisee nimetoka kucheka sana muda uliopita

Nilikuwa kwa mangi nakunywa soda ya pepsi akaja msichana mmoja na rafikiyake ambaye ni mama kijacho

Sasa bhana huyu mama kijacho alikuwa anaogopa siku ya kujifungua itakuaje mwenzake akamwambia usiogope kuzaa ni kama kupenga kamasi pyeee mtoto anatoka aisee nimecheka sana kwa kweli


NB:gonga like kama na wewe umecheka kama mimi

Tehetehehhhhhh
 
Back
Top Bottom