kuzalisha tshirts

kuzalisha tshirts

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Eti wanajamvi, hivi hapa Tz kuna kiwanda kinachozalisha tshirts-kuzalisha/manufacture sio kuprint,
am not sure sunflag (arusha) kama wanazalisha na suala la ubora pia, yaani ni kama una sample zako then unataka wakuzalishie za aina hiyo.Nimeuliza uliza naambiwa india india,

natanguliza shukran
 
Arusha mbona wanapiga kazi! Kuna kiwanda huku Kisongo kinaitwa A 2 Z!
 
Asante Job, naomba address yako i mean simu au email kama unaifahamu nijaribu

Sasa Mama Dunia hapo kwenye red jamani unaomba address yangu au ya kwao?

Kwenye Google nimepata namba yao ya simu ni 0736 500466 kama ulimaanisha hivyo!!! Website yao ni www.azpfl.com huko kuna Dialogue Box inatokea yenye kukupa nafasi ya kutuma hoja zako na maswali yako kwao.
 
Sasa Mama Dunia hapo kwenye red jamani unaomba address yangu au ya kwao?

Kwenye Google nimepata namba yao ya simu ni 0736 500466 kama ulimaanisha hivyo!!! Website yao ni www.azpfl.com huko kuna Dialogue Box inatokea yenye kukupa nafasi ya kutuma hoja zako na maswali yako kwao.

Haahaha yao jamani, nashukuru sana kaka 'kazi', nimejaribu naona simu itakuwa na tatizo nitawaemail,nimefungua web yao thanks sana!
 
Back
Top Bottom