Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?


Duh mtoto lazima nonino yako inalipa sana sio bure kufanyiwa hivi na mwanaume. hongera mwanamke mwenzetu ila huyo mbaba aangalie asije pata madhara kwenye koo lake na ulimi. mapenzi ni uchafu ila hii kali mpenzi
 
Jamani hapa tufundishane na je tunaowaacha wapenzi wacome mdomoni hatuathiriki kweli au badae zinaingia katika mfumo wa chakula.mambo mengine watu wakiongelea ndio unaanza kuyawazia
 
Jamani hapa tufundishane na je tunaowaacha wapenzi wacome mdomoni hatuathiriki kweli au badae zinaingia katika mfumo wa chakula.mambo mengine watu wakiongelea ndio unaanza kuyawazia

Ndio kama yale yangu sasa hapa imekuwa mwanamke unafanya basi hata yule saizi yake kabisa
 
Watu bana,mwajifanya wanjanja kwa mambo ya kijinga sana,kwa herini
 

Pole sana Kajuni, lakini jina ndilo lililonifanya nigundue kwamba wewe ni mnafiki, maana mwanzo ulionekaka unauliza kwamba kwenda chumvini ni nini, lakani baadaye tena unaelezea mwenyewe ndipo hapo uliponichanganya! Labda kama swali lako lilikuwa halimaanishi kwamba hujui maana ya kwenda chumvini
 
Kwa katika mapenzi ni kuridhishana kwa njia yoyote ile moja wapo ni hizo njia,mm bila kwenda chumvini kwa mrembo wangu bado sijaridhika,najiona kama bado sijafanya sex
 

Ni kunogesha mapenzi

Toka lini wali ukapikwa kwa maji peke yake?
 
Jamani hapa tufundishane na je tunaowaacha wapenzi wacome mdomoni hatuathiriki kweli au badae zinaingia katika mfumo wa chakula.mambo mengine watu wakiongelea ndio unaanza kuyawazia

Zile ni protein yaani akimaliza mdomoni inakuwa faida kwako unapata virutubisho tosha.
 
Jamani hapa tufundishane na je tunaowaacha wapenzi wacome mdomoni hatuathiriki kweli au badae zinaingia katika mfumo wa chakula.mambo mengine watu wakiongelea ndio unaanza kuyawazia
Cn j pm you?
 
Mmmmh kwani haya maharage tunakula kila siku hayatoshi kutupatia protein???

Protein inayo toka kwa kidume ni natural maharage ni artificial kwenye mapenzi
 
Jamani hapa tufundishane na je tunaowaacha wapenzi wacome mdomoni hatuathiriki kweli au badae zinaingia katika mfumo wa chakula.mambo mengine watu wakiongelea ndio unaanza kuyawazia

hii inamaanisha nawe unapenda kula koni.... usijali zile ni protein tu utafiti unaonyesha hazina madhara bali faida kwa afya yako
 

MADAM T pale nilikuwa natoa ufafanuzi nini maana hasa ya kwenda Chumvini. Na swali langu ilikuwa ni je nilazima kwenda chumvini?? mfano tunajua Codom zipo lakini ni kwa nini watu wanapenda kujamiana bila kutumia? BCC (behaviour change communication)
 
Wana JF michango yote nimeipokea kwa moyo mkunjufu sasa inabidi mie akili kukichwa ni kupitia humu humu nimeweza kujua faida na hasara. Lakini naona kama hasara zimezidi faida!!!! au mwasemaje wadau hence take home ni kuacha aka kamchezo na ukiona mtu anakunyemelea mkimbie kama shetani!!!!
 
Mapenzi ya kiafrika nakataa kuwa si ya kuangushana banaaaa

Uliza uzaramuni na kule kwa kina kabaka, kagame wana tricks za asili kabisa kama kuchuncha, katerero, etc
 
Mi napenda sana jamaa akizama huko uvinza tena sio kwa kulamba koni bali napenda mumunya pipi, acha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…