Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Mkuu umeeleweka sana, ngoja tukajaribu ma-ujuzi.
 
Somo zuri, asante!

Kaunga utayafanyia mazoezi na nani jamani? Mimi nipo kwa pori (hifadhi ya taifa) hata sijui nijayajaribu na nani miye au sijui niingie down t?
 
hakuna profesa wa mapenzi ila wote tunajifunza bado, asante kwa elimu yako
 
watu wanafani zao..hizi nyumba zinaficha mambo mengi sana..
 
mkuu somo zuri sana, linatufaa sie wa dk 2

hapa ndo pakujengea heshima ili baadae unapiga dk zako 2 mnaenda sawa.
 
Du hii theory practical hata clips tuone picga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…