Kuzidiana kwa uwiano wa hormone za uzazi kwa mwanamke kunamzuia kupata ujauzito!?

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,684
Reaction score
2,156
Naomba kufahamu chanzo kinachoweza kumsababishia mwanamke hormone zake zisiwe na uwiano sawia, dalili zake, kama husababisha kutopata ujauzito na namna gani zinaweza kurudi kuwa sawia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…