Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mwezi uliopita, nilihudhuria mazishi ya rafiki yangu mmoja.
Kutokana na maisha yake aliyoishi hapa duniani, alikuwa haendi jumuiya, wala kutoa michango ya huko anakoabudia.
Umauti ulipomfika, kukawa na utata; kule kwenye dhehebu lake wakakataa kumzika, kwa sababu alikuwa haudhurii jumuia, wala kutoa michango.
Kilichofanyika, ni mtu alijitolea, akasoma somo katika biblia na marehemu akazikwa; ila hakukuwa na ibada yoyote.
Sasa nauliza, kuzikwa kwa ibada za dini tulizonazo, na kuzikwa kipagani; zina manufaa gani kwa marehemu?
Kutokana na maisha yake aliyoishi hapa duniani, alikuwa haendi jumuiya, wala kutoa michango ya huko anakoabudia.
Umauti ulipomfika, kukawa na utata; kule kwenye dhehebu lake wakakataa kumzika, kwa sababu alikuwa haudhurii jumuia, wala kutoa michango.
Kilichofanyika, ni mtu alijitolea, akasoma somo katika biblia na marehemu akazikwa; ila hakukuwa na ibada yoyote.
Sasa nauliza, kuzikwa kwa ibada za dini tulizonazo, na kuzikwa kipagani; zina manufaa gani kwa marehemu?