Alfredy1993
New Member
- Sep 26, 2017
- 3
- 6
Mtegemee Mungu
All shall be well
Jiulize kwann mwenye gari akijuwa dereva gari yake unafanya gesti hakuachi?Dah hivi bado watu wana imani za kishirikina?
Mambo primitive kabisaJiulize kwann mwenye gari akijuwa dereva gari yake unafanya gesti hakuachi?
Gari. Nyingi zinazindikwa..tena zinatolewa kafara kabisa za damu.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Mungu anakusaidia kwenye nini?Mungu hawezi kukusaidia kwenye ajali.
Angekuwa anasaidia kuepusha ajali basi kungekuwa hamna ajali.
Maana kila siku watu wanamuomba.
Gari jipya linaponunuliwa lazima lifanyiwe kafara.Mambo primitive kabisa
Vitambaa vinazuiaje ajali? Mambo mengine ni ujinga mwingi sana. Gari ni chombo cha kisayansi na suluhisho la matatizo yake lazima yawe ya kisayansi. Mfano mdogo tu, baada ya mabasi kuwekewa gadgets za ku- limit speed, ajali zimepungua sana. Hayo mambo ya zindiko ni upuuzi tuGari jipya linaponunuliwa lazima lifanyiwe kafara.
Especially mabasi na malori ya masafa marefu..waarabu,wahindi na baadhi ya makabila .
Wengine wanafunga zindiko kama vitambaa au chochote kwenye matairi.
Au angalia mbele kwa dereva..
Si ajali zote za kimungu kuna zingine wanatengeneza binadamu.. kwa ajili ya kafara zao za biashara.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Mungu anakusaidia kwenye nini?