Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hii gari, mzungu Mark Thomas Bush anasema inazinduliwa Tarehe 1 mwaka 2020. Itakuwa hata ikitaka kuvutwa gari lingine itavutwa kwa wireless, yaani bluetooth au any wireless app.
Kwa hiyo hii gari kuvutwa haitahitaji wire, kamba au mnyororo.pia itakuwa na matumizi ya umeme na mafuta.battery yake ukicharge mara ya kwanza kuanzia hapo inaendelea kujicharge kwa masaa 72 gari inatembea pasipo mafuta wala umeme.
Pia itakuwa na uwezo wa wireless charging na solar power.uwezo wake wa kubeba abiria ni 5 na nyingine 8. Speed ya hii gari ni 380 kmp. Horse Power yake ni 580 kwa engine ya 7800 CC.
AMKENI WADAU.
Kwa hiyo hii gari kuvutwa haitahitaji wire, kamba au mnyororo.pia itakuwa na matumizi ya umeme na mafuta.battery yake ukicharge mara ya kwanza kuanzia hapo inaendelea kujicharge kwa masaa 72 gari inatembea pasipo mafuta wala umeme.
Pia itakuwa na uwezo wa wireless charging na solar power.uwezo wake wa kubeba abiria ni 5 na nyingine 8. Speed ya hii gari ni 380 kmp. Horse Power yake ni 580 kwa engine ya 7800 CC.
AMKENI WADAU.