Kuzuia mikutano ya CHADEMA, ni dharau dhidi ya Rais?

Kuzuia mikutano ya CHADEMA, ni dharau dhidi ya Rais?

Red sky

Member
Joined
Jul 1, 2024
Posts
17
Reaction score
34
Kuelekea Siku ya vijana Duniani Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kufanya mkutano mkubwa Jijini Mbeya, katika hali ya kushangaza Jeshi la Polisi Nchini limetangaza kuzuia Mkutano huuo Ambapo wamekuja na hoja dhaifu kua matamko ya viongozi yanaleta taharuki.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani

Hapo nyuma pia CHADEMA Waliwahi kutangaza kufanya maandamano Jijini Dareesalam, ambapo Mkuu wakoa alitishia kuwapeleka Wanajeshi barabarani Wakafanye usafi Kabla ya Rais mwenyewe kumuamru awaache wafanye maandamano yao ambayo yaliisha kwa amani kama yalivyoanza, sijui kwakua awamu hii kumetangazwa kua watu watatoka maeneo mbalimbali Inchini au nikipi kilicho watia hofu Askali wetu?

Ila wanapaswa kujua kua CHADEMA Katika maadhimisho ya kitaifa hukusanyika katika moja ya mikoa na kufanya kua maaadhimisho ya kitaifa, jambo ambalo hufanya wanachama wake kukusanyikia mkoa huo wakitokea mikoa mbalimbali, Katika mazingila ambayo Rais wa Inchi Mwenyewe amekua Akisisitiza 4R, Sio dhalau dhidi yake kwakujalibu kuzi fifiza?

Yani Jeshi la polisi limeshindwa kuwaeleza Makutano kua wanapaswa kufanya mkutano wao na kutosababisha uvunjifu wa amani, kwani Jeshi la Polisi litakuepo kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani unatokea? Binafsi naamini kuzuia mkutano mkubwa kama huo kwa dakika za mwisho nikutaka kuleta machafuko katika nchi nakutaka kutia doa utawala Rais.
 
Majalibio=majaribio.
Dhalau=dharau
 
Samia ndio amewatuma Polisi
Huyu Mama tumkatae arudi Kwao KIZIMKAZI, urais wake wa URITHI unatosha, mama kama ana busara 2025 iwe mwisho tumalizane naye kwa kura.

Akiachwa huyu ATAAUZA VITU VILIVYOBAKI VYA TANGANYIKA.
 
Mkuu, hiyo ni "conspiracy"yenye lengo la kuwaundia kesi Sugu na Lissu wasiweze kushiriki ama kuhusika kwenye kinyang'anyiro cha chaguzi za 2024 & 2025. Kuna kila dalili za hofu kubwa inatanda ndani ya CCM kwa wamama wawili wanaongoza mihimili miwili mikuu kushindwa.

Kilichobakia kwao ni kutumia "provocation" ili "any retaliation" kutoka kwa wahusika itumiwe kama zengwe la kuwaundia kesi ya mchongo.
 
Kuelekea Siku ya vijana Duniani Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kufanya mkutano mkubwa Jijini Mbeya, katika hali ya kushangaza Jeshi la Polisi Nchini limetangaza kuzuia Mkutano huuo Ambapo wamekuja na hoja dhaifu kua matamko ya viongozi yanaleta taharuki.

Hapo nyuma pia CHADEMA Waliwahi kutangaza kufanya maandamano Jijini Dareesalam, ambapo Mkuu wakoa alitishia kuwapeleka Wanajeshi barabarani Wakafanye usafi Kabla ya Rais mwenyewe kumuamru awaache wafanye maandamano yao ambayo yaliisha kwa amani kama yalivyoanza, sijui kwakua awamu hii kumetangazwa kua watu watatoka maeneo mbalimbali Inchini au nikipi kilicho watia hofu Askali wetu?

Ila wanapaswa kujua kua CHADEMA Katika maadhimisho ya kitaifa hukusanyika katika moja ya mikoa na kufanya kua maaadhimisho ya kitaifa, jambo ambalo hufanya wanachama wake kukusanyikia mkoa huo wakitokea mikoa mbalimbali, Katika mazingila ambayo Rais wa Inchi Mwenyewe amekua Akisisitiza 4R, Sio dhalau dhidi yake kwakujalibu kuzi fifiza?

Yani Jeshi la polisi limeshindwa kuwaeleza Makutano kua wanapaswa kufanya mkutano wao na kutosababisha uvunjifu wa amani, kwani Jeshi la Polisi litakuepo kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani unatokea? Binafsi naamini kuzuia mkutano mkubwa kama huo kwa dakika za mwisho nikutaka kuleta machafuko katika nchi nakutaka kutia doa utawala Rais.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Hapo ccm inadhoofoka sana.Kumbe Chadema Bado Ina nguvu kubwa!
 
Kuelekea Siku ya vijana Duniani Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepanga kufanya mkutano mkubwa Jijini Mbeya, katika hali ya kushangaza Jeshi la Polisi Nchini limetangaza kuzuia Mkutano huuo Ambapo wamekuja na hoja dhaifu kua matamko ya viongozi yanaleta taharuki.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani

Hapo nyuma pia CHADEMA Waliwahi kutangaza kufanya maandamano Jijini Dareesalam, ambapo Mkuu wakoa alitishia kuwapeleka Wanajeshi barabarani Wakafanye usafi Kabla ya Rais mwenyewe kumuamru awaache wafanye maandamano yao ambayo yaliisha kwa amani kama yalivyoanza, sijui kwakua awamu hii kumetangazwa kua watu watatoka maeneo mbalimbali Inchini au nikipi kilicho watia hofu Askali wetu?

Ila wanapaswa kujua kua CHADEMA Katika maadhimisho ya kitaifa hukusanyika katika moja ya mikoa na kufanya kua maaadhimisho ya kitaifa, jambo ambalo hufanya wanachama wake kukusanyikia mkoa huo wakitokea mikoa mbalimbali, Katika mazingila ambayo Rais wa Inchi Mwenyewe amekua Akisisitiza 4R, Sio dhalau dhidi yake kwakujalibu kuzi fifiza?

Yani Jeshi la polisi limeshindwa kuwaeleza Makutano kua wanapaswa kufanya mkutano wao na kutosababisha uvunjifu wa amani, kwani Jeshi la Polisi litakuepo kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani unatokea? Binafsi naamini kuzuia mkutano mkubwa kama huo kwa dakika za mwisho nikutaka kuleta machafuko katika nchi nakutaka kutia doa utawala Rais.
Safi sana kuwazuia hao wahuni watoa matusi watu wazima Wanatukana sijui hata watoto wao wanajifunza nini kutoka kwao.
 
Mkutano ungefuta kilicho tangulia na kuiteketeza Mbeya kwa yule....so Lumumba wamehofia aibu kubwa kutumia njagu Kuzuia mikutano hapo kwa Sugu na huenda TZ nzima
.Chadema imerudi na nguvu kubwa ni mafuriko ya Volkano ya Virunga na huko Nagasaki Ujepu

Ila sasa kibano cha EU kina nukia kwa kwa mbaliiii
 
Hii vita ya ndani ya CCM inapiganwa kisayansi, hii moja kwa moja ni hujuma kwa Samia ili kumharibia image yake ndani na nje ya nchi ili ionekane kuwa ile 4R yake ni danganya toto na hata chaguzi zijazo zitakuwa mbaya zaidi ya zile za enzi za Magufuli na utekaji unaondelea kwa kasi ya 5G ni muendelezo wa hujuma hizo ili ionekane utawala wa Samia unafanya mambo maovu kuliko yale ya utawala wa mtangulizi wake, na kweli wamefanikiwa sana kwani hata Rais kusema kuwa utekaji ni mizaha ya watekaji ni dhahiri kuwa hata Rais mwenyewe ameshaingia kwenye 18 za wabaya wake wa ndani.
 
Mkuu, hiyo ni "conspiracy"yenye lengo la kuwaundia kesi Sugu na Lissu wasiweze kuwepi kwenye chaguzi za 2024 & 2025. Kuna kila dalili za hofu kubwa inayotanda ndani ya CCM kwa wamama wawili waongoza mihimili kushindwa.

Kilichobakia ni kutumia "provocation" ili "any retaliation" kutoka kwa wahusika itumike zengwe la kuwaundia kesi ya mchongo.
📌📌📌
 
Back
Top Bottom