majivu koroga kwenye maji jaza ujazo wa chupa ya soda nzima then kunywa baada ya kungonoka
Chai yenye majani mengi ama meza mbegu za nanasi
Maweeee..... majivu kabisa? MziziMkavu tamka neno hapa kabla hatujampoteza ndugu yetu..
Manka Ukipata jibu sahihi unisaidie kuulizia dawa ya ku postpone ovulation. ..lol
Chai yenye majani mengi ama meza mbegu za nanasi
mtabiri wew
Aisee manka alivyokuwa anakata kiuno kama panga boi kitu kimeingia ..... aisee naitwa mama mkubwa mda si mrefu..... acha wasiwasi itakuwa mabadiliko tu ya hali ya hewa kapima ili uwe na uhakika..... kujua kalenda yako ndo kitu kizuri zaidi sisy ....
duuu humu ndani mnaunganisha mtukio jaman lo!! Yan mada ile inaingiaje huku sasa mamkubwa mtarajiwa me nataka kujua jinsi ya kuzuia hii kitu kesho na kesho kutwa nijue nafanya nin btw kalenda naielewa sio kiivo coz ina badilika
Kwel kalenda sio kuna wanume wengne mbegu zao zinaish kwa muda kabla hazijaaribika nadhan wataalam wanajua hili
We kama unaenda moshi mwez. Huu kule.zipokabisa yani tena siiamin hata kidogo kuna great thinker kanishauri mbegu za nyonyo ndio mapango mzima sasa pakuzipata ndio shughuli