Lazima wa pretend ili waonekane wa ghali!!
mzee wa konooooz😀That is a fallacy! and a sin!
Yaani wewe thamani ya msichana kwako ni ngono tu??!
Badilisha hiyo tabia...
another fallacy..hasty generalization.
Kama unahamu sana ya kufanya ngono kuna rule moja tu:
OA!
Kama hamu imezidi sana na huwezi jizuia..
subiri..
..au..
fuata rule ya kwanza!
*OMBI: Msitumalizie wake zetu watrajiwa. Kina dada mlioko huku tafadhali, watu kama Hawa wakwepeni kabisa!!!
Ohh my God, when will this end??!
used ndio yenyewe mkuu,mkikutana hakuna darasa ni perfomance mwanzo mwisho,we huwa unazungushwaga mkuu??labda haulipi,wengine ni touch and paste hayo mambo kuzungushana ya kizamani.Hivi kuna umuhimu gani kwa wadada kuzungusha kupiga game mara baada ya kutongozwa wakati wote ni (USED) yaani wote mlishawahi kufanya mapenzi.
pape we ni he au she?sasa naanza kumuunga mkono the boss.m.mke sharti aringie mali yake babu weeeee! we unataka kirahisi rahisi tu? sharti ukisotee kwanza ndiyo ujue utamu wake.....
U r damn right about that thing in red ila mimi kinachoniudhi ni tabia ya baadhi ya wanawake wenyewe ambao kwa kweli wanaturudisha nyuma sana katika hii vita ya kumtoa mwanamke kwenye hadhi ya bidhaa kwenda kwenye hadhi ya utu. Unajua kuna vitu vingi sana vinaendelea ambavyo vinamfanya mwanamke aonekane kama bidhaa, We hebu jiulize kama linalotangazwa ni gari kuna haja gani ya kuwa na msichana aliye nusu uchi pembeni yake.....Tafakari.God bless you COMPAQ - endelea kukemea maovu yanayofanywa hata kwa maneno ya mtu. Mara nyingi sana kitu kiujazacho moyo wa mwanadamu ndicho kimtokacho mdomoni mwke.
Imefika wakati moderators kuangalia issue za kujadili - Ngono itasaidia nini katika maisha ya mwanadamu?? Tendo la Ndoa ni kitu cha heshima sana kati ya mume na mke - wengine wanaona ndio maendeleo - bahati mbaya sana.
Tujadili zaidi jinsi ya kuwasaidia watu waepukane na hizi ngono zembe, unyanyasaji wa kijinsia na kuongelea vibaya wanawake - they are our mothers - sisters - anties - wives etc. - tusiwaone kama items/things/vessels - .... whatever .......
Nawasilisha!
Nimekugongea senski mzee. Njoo ugombee udiwani kwenye kata yetu lazma nikupigie debe wewe.m.mke sharti aringie mali yake babu weeeee! we unataka kirahisi rahisi tu? sharti ukisotee kwanza ndiyo ujue utamu wake.....
Hivi kuna umuhimu gani kwa wadada kuzungusha kupiga game mara baada ya kutongozwa wakati wote ni (USED) yaani wote mlishawahi kufanya mapenzi.
Hivi kuna umuhimu gani kwa wadada kuzungusha kupiga game mara baada ya kutongozwa wakati wote ni (USED) yaani wote mlishawahi kufanya mapenzi.
Hivi kuna umuhimu gani kwa wadada kuzungusha kupiga game mara baada ya kutongozwa wakati wote ni (USED) yaani wote mlishawahi kufanya mapenzi.
kuna bar maid mmoja nilimwomba game Meeda Sinza akasema ana boy friend nilishangaakwa vile wakwako ulimkuta used,unajustfy kwamba wote ni used!....wewe huwa unafanya mapenzi na wahudumu wa bar?