Kwa aina ya raia waliopo Tanzania hata ikitokea wote wametekwa na kuuliwa hakuna atakayejitokeza hadharani kukemea

Kwa aina ya raia waliopo Tanzania hata ikitokea wote wametekwa na kuuliwa hakuna atakayejitokeza hadharani kukemea

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Ukiwa mgeni Tanzania unaweza ukahisi nchi inakaliwa na wagonjwa au watu walioathiriwa sana na utumwa.

Vivi hivyo kwenye kesi nyingi za utekaji , watanzania wanaamini Mungu atawalipa watekaji , wanaamini sana kwenye karma hawajifunzi,? Wazungu waliwatesa babu zetu na kuwauwa lakini kitu gani kibaya kimewatokea wazungu kuliko waafrika hadi leo,

Tangu vifo utekaji vinaendelea hatua kubwa inayochukuliwa ni ku tweet, ku comment na kupotezea.

Asilimia kubwa ya watanzania hata hawajui yanayoendelea , wana ubinafsi , hawaguswi na jambo hadi liwatokee wao.

Inasikitisha sana baada ya kugundua kuwa Hata ikitokea watanzania wote wametekwa na kuuliwa hakuna ataye raise kila mtu atafyata mkia kana kwamba hajui linalotokea.
 
Jeshi( vyombo vya usalama) vipo kwa kulinda madaraka ya mtawala wa nchi. Havipo kwa kulinda wananchi na ardhi yake,

Mataifa mengine yanafaidi rasilimali za nchi hii lakini wananchi na ardhi yake haina maendeleo yoyote yanayo tokana na rasilimali za nchi hii.

Ukitaka kujua kama wananchi hamna samani tetea maslahi ya nchi hii uone kitakacho kufika kutoka hilo jeshi la Ulinzi.
 
Ukiwa mgeni Tanzania unaweza ukahisi nchi inakaliwa na wagonjwa au watu walioathiriwa sana na utumwa.

Vivi hivyo kwenye kesi nyingi za utekaji , watanzania wanaamini Mungu atawalipa watekaji , wanaamini sana kwenye karma hawajifunzi,? Wazungu waliwatesa babu zetu na kuwauwa lakini kitu gani kibaya kimewatokea wazungu kuliko waafrika hadi leo, basi hicho ndicho kitatokea kwa CCM.

Tangu vifo utekaji vinaendelea hatua kubwa inayochukuliwa ni ku tweet, ku comment na kupotezea.

Asilimia kubwa ya watanzania hata hawajui yanayoendelea , wana ubinafsi , hawaguswi na jambo hadi liwatokee wao.

Inasikitisha sana baada ya kugundua kuwa Hata ikitokea watanzania wote wametekwa na kuuliwa hakuna ataye raise kila mtu atafyata mkia kana kwamba hajui linalotokea.
Jeshi( vyombo vya usalama) vipo kwa kulinda madaraka ya mtawala wa nchi. Havipo kwa kulinda wananchi na ardhi yake,

Mataifa mengine yanafaidi rasilimali za nchi hii lakini wananchi na ardhi yake haina maendeleo yoyote yanayo tokana na rasilimali za nchi hii.

Ukitaka kujua kama wananchi hamna samani tetea maslahi ya nchi hii uone kitakacho kufika kutoka hilo jeshi la Ulinzi.
Kutokana na hali mbaya kabisa ya kiusalama iliyopo hapa nchini hivi sasa, kuna kila sababu ya ku-declare the State of Emergency.

Siyo siri, hali ni mbaya sana.
Uhakika wa kufa leo ni mkubwa zaidi kuliko matumaini ya uwezekano wa kuiona kesho.

Seriously, I do not proud to be Tanzanian.

Tanzania pamekuwa siyo mahali pazuri pa kuishi.
 
Kutokana na hali mbaya kabisa ya kiusalama iliyopo hapa nchini hivi sasa, kuna kila sababu ya ku-declare the State of Emergency.

Siyo siri, hali ni mbaya sana.
Uhakika wa kufa leo ni mkubwa zaidi kuliko matumaini ya uwezekano wa kuiona kesho.

Seriously, I do not proud to be Tanzanian.
Usalama wa taifa unafanya mambo yake kiaina unajua jeshi la JWTZ linapewa sana uteuzi wa ukuu wa wilaya.

Wakati usalama wa taifa haupati uteuzi wowote baada ya kustaafu, wamekuja na mbinu mpya ya kutia hofu kwa kiongozi mkuu ili nao wapate teuzi..

Hili jambo limepangwa na wastaafu fulani ambao sasa wanalea wajukuu tu, hii mbinu italeta nao wakumbukwe kwa kazi yao.
 
Asilimia kubwa ya watanzania hata hawajui yanayoendelea , wana ubinafsi , hawaguswi na jambo hadi liwatokee wao.
Hili lipo sana.
Unaweza ukatoa habari za mtu fulani ametekwa au kuteswa na ukaona kabisa hawajigusi na wala hata hisia hawana.

Sasa lete connection uone coment zinavyokuwa nyingi.

Tanzania ina binadamu wenye roho mbaya sana kuliko Rwanda na Congo.
 
Back
Top Bottom