Inaonekana wewe hujui kuangalia sura na kujua huyu anaweza kuwa na umri gani. Je unataka wasichana wa aina gani? na kwa nini wakudanganye? Hujatulia ebu tuliza mzuka wako, uwe unaangalia ongea ya mtu na reasoning capacity yake utajua huyu kakomaa au la, kuwtest kitandani unapoteza muda wako.