kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Mbona hakuna picha we vp?[emoji22]Aman iwe juu
Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban
Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma
Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson kakunja ndita, aise haya maajabu ya karne
Alafu cha ajabu jamaa anajiliza maboya nao wanalia kweli
Achen kutafuta kiki kwenye misiba ya watu
NEY YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
U mean goli liko wazi!Wasanii wengi wa bongo kipa ametoka
NdioU mean goli liko wazi!
Mimi nachukia kazi zake toka juz juz alipoanza kutaka kiki kwa pikipikiNikianza kufuatilia maisha ya Mpoto nitajikuta nachukia kazi zake, acha nisimfuatilie maana ana mapungufu mengi kama sukari robo.
Jamaa hata kama ni kuigiza ila siyo hivyoNimemfuatilia baada ya ule utenzi/wimbo wake, dah jicho kavu kabisa wakati maudhui yake alitakata watu walie
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili hamna