Kwa alie malizia nyabulogoya boman sec.school in rock city pita hapa

QUONSIOUS BOY

Member
Joined
May 18, 2014
Posts
33
Reaction score
1
Jaman wana chama wa nyabu mpoo? Tangu shule ifunguliwe mwaka 2014 ndo mwaka uliofanya vizur vyenye aijawah kutokea katika shule yetu yaan division one ya p.10 haijawah kutokea au xio? Ulizen maswal umjibiwe yanayohusu nyabulogoya
 
The boy hyo imetisha sana kwa mwanza shule sasa inaogopeka ile mbaya kama private vile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…